Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

unabisha bisha tu kama juha
Tayari ushaharibu majadala.
Kwa hivyo ukiongea lugha ya kashifa na matusi ndio hoja yako inakuwa na nguvu?
Hivi unadhihirisha uwezo mdogo wa kujenga hoja na ukosefu wa hekima, unadhihirisha ulipata malezi duni.
Uwe unasoma bajeti, makusanyo, matumizi ya mishahara, matumizi ya malipo ya madeni ya nyuma na matumizi mengine kabla ya mikopo uone kabla ya mikopo hua tunajitosheleza kwa asilimia ngapi.
Kuonesha ukomavu na akili kubwa unaweka hapa ushahidi wa maandishi ya wapi serikali ilikopa pesa kulipa mishahara bajeti ya 206/2017, 2017/2018, 2018/2019.

Ukifanya hivyo ndio unaeleweka kirahisi sio kwa kutukana au kukashifu watu.
Akili ndogo ya kukimbilia matusi, kejeli, na kashifa ndio ujuha.

Kama taarifa za kibunge zipo kwenye kumbukumbu za vitabu vya michango ya bungeni lazima zipo kwenye tovuti, wewe weka rejea link yake hapa, taja kabisa na kifungu kipi au ukurasa wa ngapi.

Tena unaweza na kuweka screeshot kabisa kunikomesha nisiongeze hata neno kukubishia.

Si unataka kunifundisha jinsi ya kupinga hoja basi nioneshe kwa mifano weka ushahidi wa nyaraka, au viambatanisho vya kufanyia rejea hoja yako.
Maneno matupu na hisia zako siyo ushahidi wa tuhuma au hoja zako.
 
Bado kuna ustahimilivu katka kuzidi kukopa, kukopa na kukopa. Angalizo tu ni kwamba tunapozidi kukopa tunawatwika mzigo mzito watoto na wajukuu zetu ktk kulipa madeni hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama utakopa na kutumia pesa hiyo kama mlivyokubaliana na World Bank,sio tatizo.
Tatizo ni kukosa kutumia fedha kwa usahihi kwa kazi iliokusudiwa.
Kwa Elimu tokea chekechea hadi darasa la Saba hali ni mbaya sana kuliko hata 1962.
Iweje mwalimu afundishe watoto 200 katika darasa mmoja?
Tulitegemea darasa Liwe na watoto wasiozidi 30 kutokea chekechea hadi darasa la 4
 
Huyo jamaa msamehe bure tu maana amepewa cheo kikubwa kuliko uwezo wake ndio shida
Chezeya beberu wewe! Ohh China ndo rafiki wa kweli misaada yao haina mashariti, beberu katupia korona Kule wahangaika Mayo mpaka kesho, huku beberu anawacheka tu. Wale vibaraka waliokuwa wanategemea China hawana pa kushika zaidi ya kujisalimisha kwa beberu.

Waswahili husema usitukame mamba kabla ya kuvuka mto, magufuli aliongea shit nyingi sana dhidi ya beberu, beberu alikaa kimya tu

Sasa beberu anataka uchaguzi Huru na wa haki, na deokrasia, zile tambo zao sijui sisi ni dona kantri au sijui sisi ni sovereign country hatupangiwi sizisikii tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari ushaharibu majadala.
Kwa hivyo ukiongea lugha ya kashifa na matusi ndio hoja yako inakuwa na nguvu?
Hivi unadhihirisha uwezo mdogo wa kujenga hoja na ukosefu wa hekima, unadhihirisha ulipata malezi duni.

Kuonesha ukomavu na akili kubwa unaweka hapa ushahidi wa maandishi ya wapi serikali ilikopa pesa kulipa mishahara bajeti ya 206/2017, 2017/2018, 2018/2019.

Ukifanya hivyo ndio unaeleweka kirahisi sio kwa kutukana au kukashifu watu.
Akili ndogo ya kukimbilia matusi, kejeli, na kashifa ndio ujuha.

Kama taarifa za kibunge zipo kwenye kumbukumbu za vitabu vya michango ya bungeni lazima zipo kwenye tovuti, wewe weka rejea link yake hapa, taja kabisa na kifungu kipi au ukurasa wa ngapi.

Tena unaweza na kuweka screeshot kabisa kunikomesha nisiongeze hata neno kukubishia.

Si unataka kunifundisha jinsi ya kupinga hoja basi nioneshe kwa mifano weka ushahidi wa nyaraka, au viambatanisho vya kufanyia rejrea hoja yako.
Maneno matupu na hisia zako siyo ushahidi wa tuhuma au hoja zako.
Niliposema unabisha tu kama juha I was right.

Okay, kukufurahisha, serikali hii haijawahi kukopa, kila kitu inagharamia kwa pesa zake yenyewe za makusanyo, pesa za ndani.

Hata hii ya kukopa bank ya Dunia ni propaganda tu za wapinzani na wanaotumiwa na mabeberu.

Nafikiri sasa utafurahi.
 
Magufuli mjanja sana, kawachukua kina Mbatia kaenda kuwapa chai ikulu then anawaandikia barua mabeberu uchaguzi utakuwa huru, wakati chama kikuu cha upinzani amekikwepa kama hakijui vile, asijidanganye mabeberu hawajaona hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anasubiri mahakama iwatie hatiani hiyo keshokutwa, halafu atatoka na 'album' mpya!
 
Niliposema unabisha tu kama juha I was right.

Okay, kukufurahisha, serikali hii haijawahi kukopa, kila kitu inagharamia kwa pesa zake yenyewe za makusanyo, pesa za ndani.

Hata hii ya kukopa bank ya Dunia ni propaganda tu za wapinzani na wanaotumiwa na mabeberu.

Nafikiri sasa utafurahi.
Hili sio jibu au ushahidi wa hoja yako.
Weka hapa ushahidi nyaraka za serikali au tuite za bunge utakuwa umewadhihirishia wote ujuha wangu, tatizo liko wapi hapo?
 
[emoji16][emoji16]
IMG_20191214_174307.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliposema unabisha tu kama juha I was right.
You ain't right my friend!
Just lay your cards on the table, provide me any reference of the official document which justifies your claims from reliable source.
Is that difficulty for a great thinker like you?
 
Magufuli mjanja sana, kawachukua kina Mbatia kaenda kuwapa chai ikulu then anawaandikia barua mabeberu uchaguzi utakuwa huru, wakati chama kikuu cha upinzani amekikwepa kama hakijui vile, asijidanganye mabeberu hawajaona hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamarekani wajanja sana anadhani hawajui?? Wale wanajua kila kitu ktk nchi hii hadi vitu asivyojua yeye.
 
Niliposema unabisha tu kama juha I was right.

Okay, kukufurahisha, serikali hii haijawahi kukopa, kila kitu inagharamia kwa pesa zake yenyewe za makusanyo, pesa za ndani.

Hata hii ya kukopa bank ya Dunia ni propaganda tu za wapinzani na wanaotumiwa na mabeberu.

Nafikiri sasa utafurahi.
Mbona kimya mzee wa matusi?
Bado nasubiri hizo nyaraka ulizo nishauri nizisome kabla sijapinga kitu.
Hii ndio nafasi yako ya kipekee kuwaonesha watu uwezo wako wa kusoma na kuelewa na kujenga hoja.
Nafasi ya kuwaonesha watu ujuha wangu au nani juha kati yetu.
 
You ain't right my friend!
Just lay your cards on the table, provide me any reference of the official document which justifies your claims from reliable source.
Is that difficulty for a great thinker like you?
At first I thought I was arguing with a learned and informed person, kumbe I was wrong. Ndio maana nikabadili mtazamo wangu juu yako.

Sasa unataka nikuwekee official statistics, this shows how little learner and uinformed person you are!

Ni wazo zuri ila it will take you days or months if not years to kuelewa ili tuanze kujadiliana hapa.

Ndio maana nikasema, tufanye nimeshindwa kuleta data hivyo nilichokisema awali ni uongo kwa sababu serikali hii ya wanyonge hua haikopi, inajitosheleza kwa kila kitu. Makusanyo ya ndani yanatosha kulipa mishahara, kulipa madeni, kuendesha serikali na kujenga miundombinu. Ikitokea serikali imekopa ni kwa bahati mbaya sana.

Ahsante.
 
Akina Mayala watwambie ile "Concept" ya "Sovereignty" imekaaje hapa.

Naona huu uchaguzi umewekwa na hawa jamaa mahususi kama kigezo kitakachotumika kuihukumu Tanzania kwa siku zijazo. Magufuli must tread carefully.
 
Back
Top Bottom