Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

Huko kooote kuanzia, QT, Private Candidate, nk mbona wamejaa wanafunzi wazazi wanasoma bila shida na wanafanya vizuri tu? Kuna Ulazima gani wa kuwachanganya na wale ambao hawajaamua kuwa wazazi? Tabia "chafu" ni contagious, sio vizuri kuchanganya haya makundi japo sio wote walichagua kuzalishwa wengine walibakwa!(waliobakwa kuna njia za kuwakinga na mimba wakiwahi kwenye huduma za afya)
 
Huko kooote kuanzia, QT, Private Candidate, nk mbona wamejaa wanafunzi wazazi wanasoma bila shida na wanafanya vizuri tu? Kuna Ulazima gani wa kuwachanganya na wale ambao hawajaamua kuwa wazazi? Tabia "chafu" ni contagious, sio vizuri kuchanganya haya makundi japo sio wote walichagua kuzalishwa wengine walibakwa!(waliobakwa kuna njia za kuwakinga na mimba wakiwahi kwenye huduma za afya)
Wekeni haya wazi mkose mkopo, si mlisema hasomeshi kabisa.
 
Ujuha tu huo ulioandika hufahamu diplomasia inafanyika vipi. Wewe kaa shinda humu na majungu wenzako tunasonga mbele. Trumpet hawezi kufanya lolote kwa Serikali huru ya Tanzania na hawezi kuwa wa kwanza, wenzake walijaribu na ataiacha Tanzania kama alivyoikuta. JPM hawezi kumwalika ng'oo aje Bongo yeye alie tu. Sisi ni taifa huru na hatuwezi kubabaishwa na Vijibeberu.
LOoo, umeshuka ngazi hadi kufika huku!

No further comment.
 
Wekeni haya wazi mkose mkopo, si mlisema hasomeshi kabisa.

Kina nani sasa waweke hayo wazi? Mbona toka enzi ilikuwa mwanafunzi akipata Mimba ndio bye bye?
Hajaanzisha JPM hi issue. Anyway, labda inawapa political mileage some other guys. But won't make any difference ukisema yes halafu ukikomaa huku ndani
 
Gazeti la mwananchi eti nalo linaandika kabisa eti "japo ujumbe uo wa Rais Magufuli kwenda kwa Trump haukuwekwa wazi wann?" hizo jumbe za aina hyo ata Magufuli anapokeaga toka nchi zingine na kamwe hazijawah kuwa za wazi umma ujue sasa mwananchi wanavyoandika hvo mithili kwao ni kitu chakushangaza!
 
Kina nani sasa waweke hayo wazi? Mbona toka enzi ilikuwa mwanafunzi akipata Mimba ndio bye bye?
Hajaanzisha JPM hi issue. Anyway, labda inawapa political mileage some other guys. But won't make any difference ukisema yes halafu ukikomaa huku ndani
Sasa hivi mnaangaliwa kila mnachofanya. Chukueni pesa na msifuate maagizo ya mabeberu.
 
Kwa udhalimu na ukatili aloufanya kwa watz HATA AKIANDIKA BARUA KWENDA KWA MJOMBA WAKE SHETANI SHOKA LIPO SHINANI 2020 election hachomozi
Huwezi kuiondoa CCM madarakani kwa kutegemea kura. Kwa sasa nikwambie ukweli njia iliyobaki kuiondoa serikali ya CCM madaraka ni moja tu nayo ni......nk rejea yaliyotokea huko Rwanda 1994' nadhan umenielewa...kupiga kura eti CCM itaondoka madarakani ni kujilisha upepo
 
Wamarekani wajanja sana anadhani hawajui?? Wale wanajua kila kitu ktk nchi hii hadi vitu asivyojua yeye.
Kwani hukuona ile cartoon ya Gado mfalme amekaa kwenye kiti cha enzi lakini watu wote wanamuona kuwa hana nguo ila yeye hajijui.
 
Unajua masharti hao wakiwa wanatoa hao watu na ndo maana wametufanya tusiendelee yani mnashanikia hao watu wanaotunyonya alafu wanavunga wanaleta misaada, mnashabikia vitu msivyovijua sijui Watanzania tutajitambua lini
sisiem yako inafanyanini?

Endeleeni tu kutumia dola kama vile nchi mlipewa na hatimiliki yake..

sisiem hoyeeeee.. Daimaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo wanafunzi hawatasitishwa masomo endapo watapata mimba?

Kama sheria ya kukataza mwanafunzi mjamzito asisome ilikua inapingana na haki za binadamu na ndio sababu iliyochangia kuzuiwa kwa mkopo. Basi kama kweli wamedhamilia kutoa mkopo basi lazima serikali imekubali kutengua sheria yake
Hilo halikuzingatiwa sana
Kilichozingatiwa ni uongo wa Zitto kwamba pesa zitaenda kutumika wakati wauchaguzi na serikali inaua watu kama kuku
 
Unajua masharti hao wakiwa wanatoa hao watu na ndo maana wametufanya tusiendelee yani mnashanikia hao watu wanaotunyonya alafu wanavunga wanaleta misaada, mnashabikia vitu msivyovijua sijui Watanzania tutajitambua lini
Hatuendelei sababu ya ccm,usiwasingizie mabeberu, unawezaje tumia tril,1.5 kununua wapinxani na kurudia uchaguzi hewa
 
Back
Top Bottom