Nge6
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 286
- 234
Tangu lini mzazi akaitwa mtoto? Huyo ni mtu mzima, si mtoto tena.Wajinga na wapumbavu( maccm) ndio yanayodhani mtoto akirudi shuleni ni vibaya sijui yanapungukiwa nini akirudi kusoma au ni roho mbaya tu.
Sent using Jamii Forums mobile app