Ni-change kwa sababu gani?! Nimekuuliza taja hizo figure unazosema ni za kupika lakini umeshindwa!You can change your earlier thoughts I presume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni-change kwa sababu gani?! Nimekuuliza taja hizo figure unazosema ni za kupika lakini umeshindwa!You can change your earlier thoughts I presume.
Tupo $ 1,063 huko $ 1,090 hatujafika. Labda tutafika 2025.ELEWENI 2014, GDP per capita ya #Tanzania ilikuwa $ 1,030 IKASHUKA ikawa $947 2015. Leo tunambiwa tuko $1,090. Tumepanda kwa $40 Kwenye miaka 6. Tunashukuru sana Mh. Rais. Tukiendelea hivi 2025 GDP per capita itafika $1,130. Kwa mwendo HUU tutakuwa tajiri baada ya miaka 150.🙏🏾
Tangu mwaka 2015 adui wa Tanzania ni
1.Chadema
2.Ujinga
3.Maradhi
4.Umasikini
Kikwete ni ccm kama Magufuli na USD80 za Magufuli zimetosha kuwafanya mabeberu waunge mkono juhudi na kuitangaza Tanzania kuwa sasa ina uchumi wa kati.
Safi sana great thinker umeshusha data anayepinga aje na data piaKwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.
Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'
Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559
Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.
Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564
Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!
On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
View attachment 1494576
Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
ubeberu ni dhana sio rangi wala kabilaHao mabeberu wakiwakosoa mnawaita mabeberu, wakiwapongeza mnakenua! [emoji23][emoji23]
Rais muongo huyu. Hapa wajinga watajua tumefika level moja na South Africa yenye GDP ya $6,606 wakati sisi tuna $ 1,063.
Na hiyo link uliyoweka baadae ina tofauti gani na link ambayo mimi nimeiweka mwanzoni tu mwa mjadala huu?!Kwani link sikuweka?
Darasa la Pili, una lingine?!Unaelimu gan???
Tatizo wewe hujanifahamu. Mimi huwa ni mkweli na sipo chama chochote cha siasa. Nasimamia ukweli tu.Naona umeanza kutema chambo.
Na Watanzania tulivyo wagumu wa kutafakari jambo basi hapo tutaishi kusifia tu wakati hatujui hata ni nini maana yake.Rais muongo huyu. Hapa wajinga watajua tumefika level moja na South Africa yenye GDP ya $6,606 wakati sisi tuna $ 1,063.
aiseeTupo $ 1,063 huko $ 1,090 hatujafika. Labda tutafika 2025.
Mkuu wacha fix ya kusema miaka mitano mitano etc. What you brought was wrong, kubali hilo then tujikite kwenye issues. Hakuna mahali popote uchumi ulipwaya kwa sababu 2015-16 budget yake alifanya JMK kwa hiyo basi mwaka wa kwanza huwa ni mfuto. Uchumi wake hasa ni kuanzia 2016/17 na kuendelea kwa hiyo ulipokuwa unasema JK kwa miaka 10 na kulinganisha ulikuwa unapotosha.Chifu, nimelinganisha data za miaka mitano mitano!
From 2005 to 2010, From 2010 to 2015, from 2015 to 2020. Mbona hujahoji hiyo ya kuanzia 2005?! Btw, hata hiyo miaka 4 ya JPM kuna nini wakati gni ilishuka from $980 to $970?!
Halafu unadai figures za 2019 na 2020 zikitoka kutakuwa na mafanikio mazuri... figures zipi tena! Hebu shusha pumzi kisha tafakari! WB wamesema low middle income inaanzia 1036, lakini 2018 figure ni 1020! Sasa wameiwekaje kwenye low middle income kama figures za 2019 hazijatoka wakati za 2018 zisingeifanya nchi kuwa kwenye Low Middle?!
Na hapa usisahau kwamba tunazungumzia fiscal year.... kwahiyo figures kuanzia July 2020 zitakuwa accounted kwenye next fiscal year. Za 2019 zimeshatoka na ndizo zimeifanya Tz kutoka kwenye 1020 to Low Middle
Data ambazo zimemshinda kusoma?Safi sana great thinker umeshusha data anayepinga aje na data pia
Hivi Lower middle income ndo uchumi wa kati?Rais muongo huyu. Hapa wajinga watajua tumefika level moja na South Africa yenye GDP ya $6,606 wakati sisi tuna $ 1,063.
Tupe tafsiri ya UCHUMI WA KATI mkuu na sisi tufahamu basi ili twende sawaTangu mwaka 2015 adui wa Tanzania ni
1.Chadema
2.Ujinga
3.Maradhi
4.Umasikini
Kikwete ni ccm kama Magufuli na USD80 za Magufuli zimetosha kuwafanya mabeberu waunge mkono juhudi na kuitangaza Tanzania kuwa sasa ina uchumi wa kati.
Ni wa kati ila ni lower. Sio ule wa kati wenyewe ambao unaitwa upper middle.Hivi Lower middle income ndo uchumi wa kati?
Tatizo wewe hujanifahamu. Mimi huwa ni mkweli na sipo chama chochote cha siasa. Nasimamia ukweli tu.