Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapinga kwa data na mjibu kwa data.Machadema yatapinga!
Unajua mtaji wa CCM ni waTz ambao hatupendi kusoma. Sijaona uzi mzima watu wakiomba methodology, au classification basis ya hizo takwimu. No wonder hamshangai Zimbabwe ni middle income!!.
Tupende kusoma wanaJF
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020
============
View attachment 1494690View attachment 1494691
Hata mpango naye ameingia kwenye hizi ghiliba? sisi tunatajwa tuko kwenye lower-middle? Lower middle ndio uchumi wa kati?Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020
============
View attachment 1494690View attachment 1494691
Kama ya Kenya ni Karatasi basi ya Danganyika ni Ya tissue paperKenya ni uchumi wa karatasi tu
Uchumi wa kati ni kipato cha wastani wa kuanzia dola 1,036 ambayo ni sawa na shs takribani milioni 2,500,000 kwa mwaka.
Mtanzania wa kawaida mnyonge ni kweli anapata kipato kinachofika takribani shilingi 7,000 kwa siku na kwa mwaka shilingi 2,500,000?
Kufika uchumi wa kati unaotangazwa ni kweli ndio hali halisi au makaratasi yanayopelekwa bemki ya dunia yamedanganya?
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020
============
View attachment 1494690View attachment 1494691
Hivi ukienda kwenye kampeni ukawaeleza watu kuwa nchi yetu imefikia uchumi huo watakulewa wakati hawana maji,umeme,madawa hospitalini,mishahara duni,madeni ya ndani hayalipwi,n.k?Ukweli uko hivi:
Tanzania imeingia kwenye list ya LOWER MIDDLE INCOME COUNTRY
Na sio MIDDLE INCOME COUNTRY kama wanavyodanganya.
NENO LOWER linaharamisha hizo shamrashamra zao.
Anyway ni mwaka wa uchaguzi lazima wadanganyika wasioelewa wapigwe tu.
Yaani nchi imejaa mazuzu mpaka aibu.
Tungekuwa tumeingia middle Income ingetupasa kuanzia sasa hatuombi tena nje na mara nyingi manunuzi yetu nje ni CASH.
Budget yetu ingepaswa kuwa haina utegemezi 100% na tungekuwa tunalipa madeni sana tunayodaiwa nje.
Ngoja niishie hapa....nivae na barakoa yangu.😷😷😷