Jibu maswali niliyokuuliza!Sasa uliponiumbua ni wapi? Ukisoma hiyo clip ya WB ambayo ume-quote mwisho wameandika mwaka 2018 na wamesema kabisa hiyo GNI inakoma wapi? Sasa nikakuuliza ndio level ya darasa la 2? Sasa umeniumbua wapi?
NImekuumbua kwa sababu haya maelezo yako hapa chini ni UONGO ndio maana nimekuambia weka screenshot na link, lakini umeshindwa:-
Aidha nimekuumbua pale ninapokuwekea WB Source halafu unasema BBC simply because layout ni nyekundu ndo basi tena ukaona BBC!!those with a GNI per capita between $1,006 and $3,955; and upper middle-income economies - those with a GNI per capita between $3,956 and $12,235 (2018). Middle income countries are home to 75% of the world’s population and 62% of the world’s poor. At the same time, MICs represent about one third of global GDP and are major engines of global growth.''