Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Sasa uliponiumbua ni wapi? Ukisoma hiyo clip ya WB ambayo ume-quote mwisho wameandika mwaka 2018 na wamesema kabisa hiyo GNI inakoma wapi? Sasa nikakuuliza ndio level ya darasa la 2? Sasa umeniumbua wapi?
Jibu maswali niliyokuuliza!

NImekuumbua kwa sababu haya maelezo yako hapa chini ni UONGO ndio maana nimekuambia weka screenshot na link, lakini umeshindwa:-
those with a GNI per capita between $1,006 and $3,955; and upper middle-income economies - those with a GNI per capita between $3,956 and $12,235 (2018). Middle income countries are home to 75% of the world’s population and 62% of the world’s poor. At the same time, MICs represent about one third of global GDP and are major engines of global growth.''
Aidha nimekuumbua pale ninapokuwekea WB Source halafu unasema BBC simply because layout ni nyekundu ndo basi tena ukaona BBC!!
 
Soma kabla ya kujibu usikurupuke
Huna hoja, sana sana wewe ndo umekurupuka unayetaka kuleta habari za corona!

Halafu unadai JK hakukua na corona wakati mwaka 2008 kulitokea economic crisis ambayo iliathiri karibu dunia mzima!!
 
Uchumi wa kati ni kipato cha wastani wa kuanzia dola 1,036 ambayo ni sawa na shs takribani milioni 2,500,000 kwa mwaka.

Mtanzania wa kawaida mnyonge ni kweli anapata kipato kinachofika takribani shilingi 7,000 kwa siku na kwa mwaka shilingi 2,500,000?

Kufika uchumi wa kati unaotangazwa ni kweli ndio hali halisi au makaratasi yanayopelekwa bemki ya dunia yamedanganya?
uongo huo mkuu
 
Hili la Tanzania kuingia uchumi wa kati ni hatua kubwa kiuchumi uongozi shupavu wa mh JPM umetufikisha hapo. MUNGU YUPO NASI.
 
Tuendelee kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kututumikia vyema sisi Watanzania
Atufikishe kwenye Nchi ya asali na maziwa
Hili la Tanzania kuingia uchumi wa kati ni hatua kubwa kiuchumi uongozi shupavu wa mh JPM umetufikisha hapo. MUNGU YUPO NASI.
 
Huna hoja, sana sana wewe ndo umekurupuka unayetaka kuleta habari za corona!

Halafu unadai JK hakukua na corona wakati mwaka 2008 kulitokea economic crisis ambayo iliathiri karibu dunia mzima!!

Kama unaweza fananisha corona na economic depression naomba nilikutakie usiku mwema coz athari za economic depression zingekuwa kubwa kama hizi za Corona na corona ingeingia kipindi kile ndio ungejua thamani ya Dr Magufuli
 
Acha kujifurahisha wewe! Eti umenifukuza wakati nimekuumbua mchana kweupe!! Maswli niliyokuuliza YOTE, umeshindwa kujibu, na umebaki eti data zangu fake! Nimekupa changamoto utaje hizo data fake, UMESHINDWA KUJIBU!

Lakini wakati unadai hayo, wewe ndo umeweka maelezo ya UONGO, or else, weka screenshot na link ya haya maelezo yako hapa chini:-

''The world’s Middle Income Countries (MICs) are a diverse group by size, population, and income level. They are defined as lower middle-income economies - those with a GNI per capita between $1,006 and $3,955; and upper middle-income economies - those with a GNI per capita between $3,956 and $12,235 (2018). Middle income countries are home to 75% of the world’s population and 62% of the world’s poor. At the same time, MICs represent about one third of global GDP and are major engines of global growth.''

Hiyo ni kauli ya WB fuata hii link:Overview

Sasa na wewe omba msamaha kwa upotoshaji wako kama nilivyokwambia hapo awali kwa uongo wa wazi na kukejeli jitihada za Awamu ya 5.
 
Nilivyo fatilia kwa ukarbu ni kwamba uchumi wa kati unapatikana kwa kuangalia pato la taifa + thamani ya madini yaliopo+ thamani ya rasilimali zote nchini then /unagawa kwa idadi ya watanzania wote ukipata $1030++ bas nchi inakuwa imefikia uchumi wa kati
Sawa sawa mkuu nimeanza kupata mwanga sasa [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Duh! Hata Lesotho wamo mkuu?, Alaf mh Kabudi si alituambia inaitwa United Republic of Tanzania mkuu?

Nitaendelea kusema siku zote Rais Magufuli anaweka historia ambayo itachukua vizazi vingi hadi kuja kufikiwa na viongozi wajao wa taifa hili.
Unajua mtaji wa CCM ni waTz ambao hatupendi kusoma. Sijaona uzi mzima watu wakiomba methodology, au classification basis ya hizo takwimu. No wonder hamshangai Zimbabwe ni middle income!!
Screenshot_2020-07-01-22-50-05.png

Nadhani hiyo footnote kutoka kwenye hiyo ripoti inajieleza yenyewe.

Tupende kusoma wanaJF
 
Kama unaweza fananisha corona na economic depression naomba nilikutakie usiku mwema coz athari za economic depression zingekuwa kubwa kama hizi za Corona na corona ingeingia kipindi kile ndio ungejua thamani ya Dr Magufuli
Unachekesha kweli we jamaa! Narudia, hiyo hoja ya corona ni irrelevant! Btw, how come unasema huwezi kufananisha wakati hadi serikali ililazimika kutoa stimulus package?! Utasemaje huwezi kufananisha wakati sekta nyingi za uchumi ziliathirika almost duniani kote?

Btw, kwa corona gani wakati mlikuwa mnatamba "Hapa Kazi Tu"? Au uchumi uliathirika kwa wanafunzi kurudishwa nyumbani wakati shughuli zingine zote zilikuwa zinaendelea?

All in all, jibu swali langu kwamba, kama 2020 sababu ni corona, ina maana kushuka kwa GNI mwaka 2016/2017? na 2017/2018 na yenyewe ilitokana na corona?!

Tena na hapa msijisahaulishe, mwaka huu mkikosa wa kuwakwapua kama mlivyowakwapua wale wengine kwa hoja ya uhujumu uchumi, usishangae GNI msimu ujao ikashuka ingawaje mtaendelea kusingizia corona wakati ukweli ni kwamba, wale wa kuwakwapua wameshaisha... wamebaki wezi wanasiasa ambao JPM anawagwaya!!
 
Uliwaaminisha members kwamba datas zilikuwa za miaka 5 ya JPM wakati huo ulikuwa ni uongo. Pia ukakiri kwamba ulikuwa unaangalia miaka mitano mitano wakati data za miaka 2 ya JPM bado hazijaingia. Sasa unaweza kukiri kwamba ulikuwa unapotosha?
Nasubiri jibu! Kutoka kwa Chige
 
Kweli kuielewa siasa inahitaji akili kubwa
Serikali ilishagundua kua lazima tutaingia uchumi wa kati kitambo tu maana ni mambo ya data tu
Wakawa wanalizungumzia kila mda na mwishowe limetimia ,cha kujiuliza ni kwamba mbona kipindi cha kikwete ilikua hawazungumzii sana mambo ya uchumi wa kati ,lakini muda JP magufuli hili jambo lilizungumziwa sana wakijua ni lazima tutafika uchumi wa kati na wakajua kabisa watanzania hawafuatilii data na hawaelewi maana ya Uchumi wa kati ni nini
Hata wakajua wabongo hawatafanya hesabu kulinganusha income per capital kipindi cha kikwete ilikua kwa kiasi gani na kipindi cha magufuli umekua kiasi gani.
Ila ukweli ni kwamba kwa wanaojua kufanya mahesabu ya uchumi kikwete alibakisha kidogo kufika uchumi wa kati maanake ni kwamba muhula wa mwisho wa kikwete income per capital ilikua kwa kasi zaidi kuliko muhula wa kwanza wa magufuli anaebisha akafukue data za Uchumi wa nchi ataliona ilo
Mwisho kipindi cha magufuli alichokaa madarakani Uchumi wa MTU mmoja mmoja umeongezeka kwa Kiwango kidogo sana ukilinganisha na kipindi cha kikwete

Pia tusishangilie sana maana Guinea wana Uchumi mkubwa sana lakini raia wake ni masikini ,muhimu ukuaji wa uchumi (macro economy ) uendane na ukuaji wa UCHUMI wa MTU mmoja mmoja
 
Uchumi wa kati ni kipato cha wastani wa kuanzia dola 1,036 ambayo ni sawa na shs takribani milioni 2,500,000 kwa mwaka.

Mtanzania wa kawaida mnyonge ni kweli anapata kipato kinachofika takribani shilingi 7,000 kwa siku na kwa mwaka shilingi 2,500,000?

Kufika uchumi wa kati unaotangazwa ni kweli ndio hali halisi au makaratasi yanayopelekwa bemki ya dunia yamedanganya?
Waunganishaji ungeni na hii
 
Chifu, nimelinganisha data za miaka mitano mitano!

From 2005 to 2010, From 2010 to 2015, from 2015 to 2020. Mbona hujahoji hiyo ya kuanzia 2005?! Btw, hata hiyo miaka 4 ya JPM kuna nini wakati gni ilishuka from $980 to $970?!

Halafu unadai figures za 2019 na 2020 zikitoka kutakuwa na mafanikio mazuri... figures zipi tena! Hebu shusha pumzi kisha tafakari! WB wamesema low middle income inaanzia 1036, lakini 2018 figure ni 1020! Sasa wameiwekaje kwenye low middle income kama figures za 2019 hazijatoka wakati za 2018 zisingeifanya nchi kuwa kwenye Low Middle?!

Na hapa usisahau kwamba tunazungumzia fiscal year.... kwahiyo figures kuanzia July 2020 zitakuwa accounted kwenye next fiscal year. Za 2019 zimeshatoka na ndizo zimeifanya Tz kutoka kwenye 1020 to Low Middle

Na hapa omba msamaha kwa upotoshaji. JPM data ni za miaka 3 hiyo miaka 4/5 umezipata wapi? Chige
 
Wengi wenu mataga hamjui uchumi wa kati unamlenga nani haswa,nq si nyie tu,hata weng wa wadanganyika wanashangilia tu ila ukiwaambia welez n vigezo gan vinafanya cc tuingie huko hawaelew chochote,n bendera fuata upepo tu
 
Back
Top Bottom