Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Kabisa ndio nimetoka muda huu kushiriki finishing ya hospital ya kisasa ya wilaya..Hatuna wasiwasi Rais Magufuli anatuongoza vizuri kuelekea Nchi ya asali na maziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ndio nimetoka muda huu kushiriki finishing ya hospital ya kisasa ya wilaya..Hatuna wasiwasi Rais Magufuli anatuongoza vizuri kuelekea Nchi ya asali na maziwa
Rais wako bila aibu anaandika kuwa Tanzania imetangazwa kuwa nchi yenye "UCHUMI WA KATI"Utachambua kitu gani nyie wanywa konyagi?
Tulikwesha misikitini na makanisani kumuomba mwenyezi mungu atupe wa kutupeleka Kanaan,hakika AMEJIBU....
Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki,kumpa hekima,afya,maisha marefu,amlinde na kila jicho la husda na kila madhila aaaamin aaaamin
Na Mungu ampe uhai mrefu mh.Ally Kessy mbunge wa Nkasi aaamin,ili ufike ule muda wake ATAKAPOWASHAWISHI WABUNGE wamuongezee miaka 5 ya uongozi mh.Magufuli ili atuwezeshe TUIJENGE KANANI YETU na kuisimika vyema ARDHINI aaaamin aaaamin.
What a move! Big Congrats to Mr. President and the people of Tanzania, the plan was to be achieved in 2025.Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
View attachment 1494512
Sisi ni matajiri
Hawatakosa la kusema, sasa hivi watamzushia JF Member Kawe ALUMNI eti kafoji au kapewa fake document kutoka Lumumba etc etc. Hao ni WB wenyewe wamekubali jambo liwe jambo. Bado tunawasubiri IMF nao watoe OK halafu watu walie !Machadema yatapinga!
Ushahidi
Wote MATAGA mumefuata mkondo mmoja wa kusifia. Ngoja tuje na uchambuzi maana wote hamjui mnachojadili. Nimeona hadi mwenyekiti wenu ame tweet inaelekea na yeye hajui vizuri
Ni uamuzi Tu mkuuNaona kama ndoto
Wote MATAGA mumefuata mkondo mmoja wa kusifia. Ngoja tuje na uchambuzi maana wote hamjui mnachojadili. Nimeona hadi mwenyekiti wenu ame tweet inaelekea na yeye hajui vizuri
Ndio isha timia tayari mkuu, hapa nasubiri kwa hamu sana Zitto atakuja kuongea nini sijui.Naona kama ndoto
Lakini hali ya kipato ya mwananchi wa kawaida inaendelea kuzorota kila iitwapo leo.
Duh! Hata Lesotho wamo mkuu?, Alaf mh Kabudi si alituambia inaitwa United Republic of Tanzania mkuu?
Nitaendelea kusema siku zote Rais Magufuli anaweka historia ambayo itachukua vizazi vingi hadi kuja kufikiwa na viongozi wajao wa taifa hili.
Acha kuwa na roho ya kutu.Wote MATAGA mumefuata mkondo mmoja wa kusifia. Ngoja tuje na uchambuzi maana wote hamjui mnachojadili. Nimeona hadi mwenyekiti wenu ame tweet inaelekea na yeye hajui vizuri
Naona kama ndoto
Utachambua kitu gani nyie wanywa konyagi?
Lower-middle...
Kama vilaza chuo...
Lower-class....
Pumbaf
Kabisa ndio nimetoka muda huu kushiriki finishing ya hospital ya kisasa ya wilaya..