Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wako bila aibu anaandika kuwa Tanzania imetangazwa kuwa nchi yenye "UCHUMI WA KATI"
Ipo lakini iko hoi bin taabani na madeniKenya na nyenyewe ipo msisahau
Wamesahau kuwa sisi ni Dona CountryMimi nadhani hata uchumi wa kati wametuonea. Sisi ni uchumi wa kwanza.
AminaSafi Mkuu hakikisheni mnampa Rais Magufuli kura zote
What a move! Big Congrats to Mr. President and the people of Tanzania, the plan was to be achieved in 2025.
But finally reached in 2020.
Kwani hii ina maana gani kwako?Sijui wapinzani watatokea wapi safari hi
Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'For the current 2021 fiscal year, low-income economies are defined as those with a GNI per capita, calculated using the World Bank Atlas method, of $1,035 or less in 2019; lower middle-income economies are those with a GNI per capita between $1,036 and $4,045;
Kwamba roho inakuuma cha muhimu kunywa konyagi kama Yule jamaa ulaleKwani hii ina maana gani kwako?
Hao mabeberu wakiwakosoa mnawaita mabeberu, wakiwapongeza mnakenua! [emoji23][emoji23]Ngoja waje NYUMBU UNITED uwasikie matusi yao.
Kufuatia hatua hiyo, Rais Magufuli amepongeza Watanzania wote!
Sijui wapinzani watatokea wapi safari hiiView attachment 1494549
Hukuelewa swali; kwa hiyowewe ni kilaza kama vilaza wengine wote waliopo hapa JF.Kwamba roho inakuuma cha muhimu kunywa konyagi kama Yule jamaa ulale