Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Ina maana wana ccm ndiyo watanzania? Wapinzani kwa mujibu wako siyo watanzania?
Zitto DJ Mbowe na genge lake walikuwa wanasema uchumi umezikwa WB wanasema umepaa mpaka tumefikia uchumi wa kati kudadadeki, hii ni furaha kwa CCM ni msiba mzito kwa wapinzani maana October hii hapa.
 
Kweli uchumi umekua
Zitto DJ Mbowe na genge lake walikuwa wanasema uchumi umezikwa WB wanasema umepaa mpaka tumefikia uchumi wa kati kudadadeki, hii ni furaha kwa CCM ni msiba mzito kwa wapinzani maana October hii hapa.
tapatalk_1574537881507.jpeg
 
Wewe sio mzima.
nieleze faida ya huo uchumi ambao Tanzania imeingia hii 2020.
.
wakati watu mtaani hawana ajira toka 2015, watu wanafanya tough works wanaambulia 20k ambayo hanunui chochote zaidi ya kula.
hivi wewe mzima kweli?
Wewe ndo sio mzima kila habari njema kwa nchi yako ni mbaya masikioni mwako. Utahojije uzima wangu? Fanya kazi acha lawama mshukuru Mungu hata kwa hicho unachokipata
 
''The world’s Middle Income Countries (MICs) are a diverse group by size, population, and income level. They are defined as lower middle-income economies - those with a GNI per capita between $1,006 and $3,955; and upper middle-income economies - those with a GNI per capita between $3,956 and $12,235 (2018). Middle income countries are home to 75% of the world’s population and 62% of the world’s poor. At the same time, MICs represent about one third of global GDP and are major engines of global growth.

The World Bank Group continues to evolve its partnership with MICs, working with them simultaneously as clients, shareholders, and global actors. The World Bank provides increasingly tailored services—financial products (loans, guarantees, risk management products) and knowledge and advisory services (including on a reimbursable basis)—to support MICs in their global roles, to address their second-generation reform challenges, and to facilitate knowledge exchange and South-South cooperation.''

''GDP - per capita (PPP): This entry shows GDP on a purchasing power parity basis divided by population as of 1 July for the same year.

$3,200 (2017 est.)

$3,100 (2016 est.)

$3,000 (2015 est.)

Note: Data are in 2017 dollars'' Data za Tanzania za 2018 bado hazipo kwenye mtandao wa CIA.
 
Kuna mtu Eti hapendi Magufuli asifiwe Kwa jitihada zake nyingi Kwa ajiri ya Tanzania Eti!
 
Back
Top Bottom