Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Bro kama imekuumiza sana waandikie WB wakanushe barua yao....[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haya tutakaa kimya kama Kenya ili tuheshimu ujinga wako[emoji3][emoji3]
Yaani tunalingia $1,063 ,Uchumi wa kati ni kuanzia $4000 na kitu. Kwanza upper lower income ni 1,035. Kenya wao wapo $ 1800 ila wapo kimyaaaa.
 


World Bank Country and Lending Groups

- For the current 2021 fiscal year, lower middle-income economies are those with a GNI per capita between $1,036 and $4,045; upper middle-income economies are those with a GNI per capita between $4,046 and $12,535.

- LOWER-MIDDLE INCOME.. https://t.co/l30eHCdmvc


Kwa ufupi kabisa ukisoma riport ya benki ya dunia ni zoezi lililopangwa tangu April ya kwamba vigezo vinatumiwa na wao kuangalia uchumi wa nchi ubadirishwe toka uliokuwepo kwenda mfumo mpya.

Sie Tanzania tumebebwa na mfumo wa ulinganisho ndio maana tuko pamoja na Zimbabwe na Zambia. Jirani zetu Kenya wako huko tangu mwaka 2015
 
Hongera Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati

Tupambane tuwafikie USA sasa
 
Nani amesema cha ajabu?
Zimbambwe na matatizo tao yote walisha ingia miaka mingi. Sio kitu cha ajabu wala nini sema mi ccm imetuchelewesha hadi chadema walipo ahidi kuingiza nchi ndani ya miezi 6 ndio imeamka.
 
Swali ni Je? Kenya wapo Upper Middle Income au Lower Middle Income kama sisi?
 
Zitto na waumini wake wamechelewa kuzuia hii barua isitoke....

Sasa wanakosoa as if WB wamekosea...

Wanakuja na stories na dataz na evidences.. why thou?[emoji3][emoji3]
 
Tatizo la zito kile kikaimu balozi kimetimuliwa nchini amekosa connections za kuingia ubalozini
Zitto na waumini wake wamechelewa kuzuia hii barua isitoke....

Sasa wanakosoa as if WB wamekosea...

Wanakuja na stories na dataz na evidences.. why thou?[emoji3][emoji3]
 
Bro kama imekuumiza sana waandikie WB wakanushe barua yao....[emoji3][emoji3][emoji3]
Eti kuniuma! Unajua nyie watu siasa zinawafanya mshindwe kuwa reasonable! In short, mnachofurahia kwa mbwembwe hapa is just virtual thing manake physically or in reality, hakuna chochote!

Wakati nyie mnaongea kwa tambo na majigambo; Kenya hiyo hatua walishaipita kitambo sana!! Kuna nini cha maana nchini Kenya? Mbaya zaidi, hata kama mnajifanya hamuoni, ukweli ni kwamba inasikitisha kwamba since 2015 bado tulikuwa tunahangaika kufikia angalau wastani wa $50 annually!

JPM ameshakamilisha 4 years budget, na kwa increase of $50 annually, hiyo Low Middle Income ingefikiwa since 2018. Tena nafahamu kinachowekera... ni ile kuwakea ushahidi kwamba kumbe performance before JPM ilikuwa much better kuliko yeye!

Ni kutokana na ukweli huo, ndio maana mwenzake aliweza kupandisha from $500 to $720 katika awamu yake ya kwanza ikiwa an increase of $220, wakati JPM awamu ya kwanza amepandisha just from $980 to $1063... only an increase of $83!!

Sasa angalia gap hilo, lakini bado mnatamba kwa shangwe na tambo!!!

Mtaumia sana, lakini ripoti hii imethibitisha yale tuliyokuwa tunasema kila siku kwamba JPM anavuruga uchumi! Tena hapo kwenye system zimeingia na zile mlizowakwapua wafanyabiashara kwa kigezo cha ufisadi lakini ufisadi uliofanywa na viongozi wa juu wa CCM mkiufumbia macho!
 
Yani hata Zimbabwe na uchumi wao mbaya walitutangulia.
Tuliweke sawa tusije tukapambiwa ba mkulu.
Uchumi wa kati umegawanyika katika sehemu kuu tatu
1.Uchumi wa hali ya chini (lower middle income) Tz iko hapa toka jana ..upimaji ni dola 1045 lkn isiwe chini ya 4125.(Sawa na Tsh 9,363,750) kwa mwaka.

2.Uchumi wa kati wa juu (high middle income) ..hupimwa kwa wastani wa kipato cha kuanzia dola 4,125 (sawa na milioni 28 kwa mwaka hapa wako India na Brazil nadhani Kenya pia).
Tunayo safari ndefu Bado ila tutafika.
Sasa viongoz wa kisiasa wasitumie kama kigezo cha kutuamisha kuwa tumevuka ili hali bado tunatumia dola 1045.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…