Ukizingatia na wewe bado unaishi kwa shemeji yako huku usiku ukisikilizia sauti ya dadako akibanduliwa mzigo usiku,hapo vipi ngoma droo na Chadema wewe nyonyo
Chadema wana miaka 30 hawana hata ofisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wana miaka 30 hawana hata ofisi.
Kinadharia uko sawa.Namba hazidanganyi mkuu,ni sawa haiwezi kuwa na rate ya constant kwa mwaka kwamba ni 6.6 usd ,nimechukulia kama ndani ya miaka 6 pato limeongezeka kwa usd 40 inamaana evarage ya ukuaji ni 6.6 usd kwa mwaka ,elewa tena ni evarage!!! Yaani labda mwaka 2015 ilikuwa 10usd,mwaka 2016 ikawa usd 8 ,mwaka 2017 ikawa 12usd,mwaka 2018 ikawa 5usd,mwaka 2019 ikawa 5 usd etc sasa ukija kuchukua evarage kwa mwaka ndio unapata hiyo 6.6usd sasa ili tuje kufika 12,00usd kutoka tuilpo now 1090 usd itatuchukua miaka 1600!
Lakini hali ya kipato ya mwananchi wa kawaida inaendelea kuzorota kila iitwapo leo.
IDA is the largest source of concessional finance for the world’s 76 poorest countries, 39 of which are in Africa. Resources from IDA bring positive change to the 1.3 billion people who live in IDA countries.
- Benki ya Dunia: Uchumi wa Tanzania haukupanuka kwa 7%
Benki ya Dunia: Uchumi wa Tanzania haukupanuka kwa 7% chumi wa taifa la Tanzania ulipanuka kwa asilimia 5.2 mwaka 2018 kulingana na benki ya dunia iliosema katika katika ripoti yake kuu mwaka huu ambapo imetofautiana na takwimu zilizotolewa na serikali hiyo za kuimarika kwa uchumihuo...- Benki ya Dunia: Tanzania kwa muongo mmoja uliopita imekuwa na uchumi imara na ukuaji mkubwa wa pato la taifa
Takwimu za Benki ya Dunia zinaonesha kuwa Tanzania kwa muongo mmoja uliopita imekuwa na uchumi imara na ukuaji mkubwa wa pato la taifa wa wastani wa asilimi nane. Kwa mujibu wa takwimu hizo Tanzania imehakikisha pia ukua
Jipigepige kifua uku ukisema miye mbona na wivu wa kijinga mungu niponyeKwahiyo sisi tufanyeje?
NONSENSEKazi yenu kupinga tu hata vitu ambavyo ni critical 🤨🤨, single minded.
NONSENSE
Hatimae umethibitisha ulivyo mweupe na kwamba hakuna unachojua! Kwani hizo pesa zinazotumika kujengea miuondombinu haziwi accounted? Seems hujui even what's GDP!!Muda wa kujenga major infrastructure lazima uchumi uyumbe... acha akili za kishirikina.
And thats exactly what who you are..
Schupidiest eva..... pretending to be jiniass
Tunakuunga mkono... hatufurahii bali tutaungana nanyi kuipinga barua kwa nguvu zote...
Will that make you feel better?
Pieces of written masturbation!Ati Kenya iliingia zamani...
Nusu ya nchi mali ya mama Ngina[emoji3][emoji3]
Imeingia haraka tofauti na ilivyotarajiwa?..stupid nchi ina miaka mingapi tangu ipate Uhuru?..Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020
============