Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Usinidanganye mkuu mimi siyo kilaza kama unavyoamini, kama sisi tunalingana huduma za jamii na Marekani au nchi za Ulaya kwanini tunaenda kuomba kwao misaada?
Tuache ushabiki wa kijinga sisi bado sana huduma zetu ni duni, kama Marekani na Ulaya tunalingana nao tumewahi kuwapa misaada kama wao wanavyotoa, nashauri udanganye wajinga wenzako huko mkuu.
Wewe mpuuzi USA na Ulaya zimejaa nyumba za tembe kama nyumbani kwenu Iramba?Nchi za Ulaya tofauti... wengi wak wanatoza kodi kubwa up to 50% kusaidia kutoa huduma kwa jamii...
USA tofauti kidogo....
Kule hata Rais wa nchi analipa kodi, anakaguliwa na anashitakiwa akikosea ndiyo maana unaona wananchi wana moyo wa kulipa kodi, wana CCM wenzako wanachangia chama badala ya kulipa kodi, bosi wako hataki mshahara wake ukato kodi huku anajiita mzalendo wala fungu la Ikulu mkaguzi mkuu hagusi. Shame on youNchi za Ulaya tofauti... wengi wak wanatoza kodi kubwa up to 50% kusaidia kutoa huduma kwa jamii...
USA tofauti kidogo....
Wewe mpuuzi USA na Ulaya zimejaa nyumba za tembe kama nyumbani kwenu Iramba?
Wewe mpuuzi USA na Ulaya zimejaa nyumba za tembe kama nyumbani kwenu Iramba?
Hapo Iramba kwenu ndiyo wanakuona kuwa umefika Marekani? shame on you kwamba mimi sijui kinachoendelea wewe ndiyo unifundishe na simu yenyewe unatumia ya shemeji yako kaacha chajiChizi wewe.... heri tembe naishi bure kuliko vi apartment vya mbao wanalipia buku kwa mwezi....
Jua unachokiongea.... waulize watz walio huko (samahani natoa siri) wakwambie wanavyotabika....[emoji3][emoji3]
Mnapishana na nyoka juu kwenye paa, unatofauti gani na mhanga?Tembe ni full natural kiyoyozi (all weather self adjusted).... wenzako bill ya umeme kilio
unafikiria ni kwa nini wanaafford kulipia na Tanzania inashindikana?Chizi wewe.... heri tembe naishi bure kuliko vi apartment vya mbao wanalipia dola buku kwa mwezi....
Jua unachokiongea.... waulize watz walio huko (samahani natoa siri) wakwambie wanavyotabika....[emoji3][emoji3]
Hiyo misaada ni biashara zao za dhambi... iba billions warudishie elfu 10 tena mkopo ambao nao una riba kubwa. WB na IMF haziko kusaidia mkuu...
Baada ya sindano kukuingia ndo unadai husomi... very stupid! Btw, si umesema huna cha kuongea? Hivi una ukweli kweli wewe?! Sasa mbona unaendelea kuni-quote?!Sisomi pumba zako... you are da schupidiest ever
Jf itaanza kulipa wanaoandika matakataka marefu kama wewe... good job..
Itaokoa ukosefu wako wa ajira[emoji3]
Www.jinga.com
Wewe mpuuzi USA na Ulaya zimejaa nyumba za tembe kama nyumbani kwenu Iramba?
Kule hata Rais wa nchi analipa kodi, anakaguliwa na anashitakiwa akikosea ndiyo maana unaona wananchi wana moyo wa kulipa kodi, wana CCM wenzako wanachangia chama badala ya kulipa kodi, bosi wako hataki mshahara wake ukato kodi huku anajiita mzalendo wala fungu la Ikulu mkaguzi mkuu hagusi. Shame on you
Utaongea sana na mitusi juu lakini hiyo haitaondoa ukweli kwamba, hata baada ya kutamba kwamba una digrii as if kuna mtu kakuuliza, lakini ndo kwanza umezidi kudhihirisha ujinga wako pale ulipojaribu kuongea kama mtu mwenye digrii!!Kuandika sana sio busara... ni ukosefu wa ajira[emoji3][emoji3]
Minyumbu mijinga sana
Hapo Iramba kwenu ndiyo wanakuona kuwa umefika Marekani? shame on you kwamba mimi sijui kinachoendelea wewe ndiyo unifundishe na simu yenyewe unatumia ya shemeji yako kaacha chaji
Tusitegemee pia misaada na mikopo yenye masharti ya kutufanya kuwa ombaomba milele.Tuache ushabiki wa kijinga sisi bado sana huduma zetu ni duni, kama Marekani na Ulaya tunalingana nao tumewahi kuwapa misaada kama wao wanavyotoa, nashauri udanganye wajinga wenzako huko mkuu.
Utaongea sana na mitusi juu lakini hiyo haitaondoa ukweli kwamba, hata baada ya kutamba kwamba una digrii as if kuna mtu kakuuliza, lakini ndo kwanza umezidi kudhihirisha ujinga wako pale ulipojaribu kuongea kama mtu mwenye digrii!!
Tusitegemee pia misaada na mikopo yenye masharti ya kutufanya kuwa ombaomba milele.
Tufike mahali tujiulize siku watoaji wakiamua kutunyima hiyo misaada na mikopo tutafanyaje? Tukumbuke hawa ni wafanya biashara kwa kila wanachofanya wanaangalia faida yao kwanza
Baada ya sindano kukuingia ndo unadai husomi... very stupid! Btw, si umesema huna cha kuongea? Hivi una ukweli kweli wewe?! Sasa mbona unaendelea kuni-quote?!
We kima si ulishasema huna cha kuongea, sasa mbona unazidi ku-quote posts zangu!! To be honest, I feel so irritating ku-argue na wewe, sema ndo vile tu!Jf wataanza kukulipa...wanatoa ajira za foolish analysts
Poromosha mapumba...