Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
unafikiria ni kwa nini wanaafford kulipia na Tanzania inashindikana?
We kima si ulishasema huna cha kuongea, sasa mbona unazidi ku-quote posts zangu!! To be honest, I feel so irritating ku-argue na wewe, sema ndo vile tu!
All in all, utakapokuwa unapumuliwa kisogoni na huyo anayekufanya uanze kutukana watu kila anaposemwa basi usisahau kumwambia kwamba tangia jana umewakomesha kweli kweli wanaomsema!
Mnapishana na nyoka juu kwenye paa, unatofauti gani na mhanga?
Siku ukiangukiwa utakomaMwenye tembe ni fully owned halipi morgage...
USA unaalipia mortage 30 years na ukiumwa ama kukosa kazi miezi michache wanachukua....
Bado hata nunua cash ... wanakutegea kwenye kukosa kulipa kodi waichukue...hujakatia majani wanabeba...
I love my tembe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanini unadanganya kama hujafika?Povu lanini? Sijafika marekani mkuu...
Kweli simu ya shemeji yangu... hilo ni tusi?
Nyumbu haoooo
Tuna stahili kuwa nchi ya uchumi wa kati?Tusitegemee pia misaada na mikopo yenye masharti ya kutufanya kuwa ombaomba milele.
Tufike mahali tujiulize siku watoaji wakiamua kutunyima hiyo misaada na mikopo tutafanyaje? Tukumbuke hawa ni wafanya biashara kwa kila wanachofanya wanaangalia faida yao kwanza
Kwahiyo biblia ni waongo hakuna Mungu?Nyoka sio adui wa mwanadamu....
Kuna siku unalala ukiamka nyoka yuko next to you ana enjoy joto la mwili... unamshika mkia unamtoa nje...
Najua biblia ilitumia nyoka kumdanganya Eva ndio maana mna hasira nae... ilikuwa ni lugha ya mafundisho tu sio nyoka kweli[emoji3][emoji3]
Kama hakuna MUNGU kwanini Mwenyekiti wako anajifanya mcha MUNGU kumbe ni muongo ndiyo maana matendo yake ni ya hovyo?Nyoka sio adui wa mwanadamu....
Kuna siku unalala ukiamka nyoka yuko next to you ana enjoy joto la mwili... unamshika mkia unamtoa nje...
Najua biblia ilitumia nyoka kumdanganya Eva ndio maana mna hasira nae... ilikuwa ni lugha ya mafundisho tu sio nyoka kweli[emoji3][emoji3]
Wewe unaonaje mkuuTuna stahili kuwa nchi ya uchumi wa kati?
Umewahi kufika Singida, Simiyu, Mara, Geita, Shinyanga, Kigoma, Tabora, Katavi, Rukwa, Iringa, Njombe, Dodoma, Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Mtwara, Songwe na Kagera Mkuu?Wewe unaonaje mkuu
Timu ya mpira ina wachezaji 11, lakini anayefunga goli ndio anayesifiwa haijalishi alicheza kwa kiasi gani. JK 720, 500, aliyefunga ni mwenye 54 na mchezo haujakwisha ni halftime tu. Bado mambo ni mbele kwa mbele.....Tupo GNI per capita $1,063 ,siyo ya kuringia kutoka tulipokuwa $980 .Kumbuka JK alipandisha mpaka 720 mwaka 2010 kutoka kwenye $500 mwaka 2005.Mpaka hapa Magufuli hana maajabu yeyote.
Kote nimefikaUmewahi kufika Singida, Simiyu, Mara, Geita, Shinyanga, Kigoma, Tabora, Katavi, Rukwa, Iringa, Njombe, Dodoma, Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Mtwara, Songwe na Kagera Mkuu?
Sema hali halisiKote nimefika
Kama hakuna MUNGU kwanini Mwenyekiti wako anajifanya mcha MUNGU kumbe ni muongo ndiyo maana matendo yake ni ya hovyo?
Kwahiyo biblia ni waongo hakuna Mungu?
Unamaanisha nini?Sema hali halisi
Kwanini unadanganya kama hujafika?
Siku ukiangukiwa utakoma
Umesema story za kwenye biblia dingiMkuu nimesema wapi hakuna mungu?
Hang over mkuu ama?
Ukiwa sober niulize tena
View attachment 1496066