Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Sijakusoma sana mkuu ila system ya tz ni ku own nyumba yako ama kamata jumba zima kwa laki 5...
Na kwa USA naamini ni ubepari.... umetengeneza mzunguko wa biashara/pesa hivyo kutengeneza ajira nyingi na watu kupata pesa kiasi kuweza kulipa bills... Nakili kuwa naweza kuwa sijakujibu kitaalam sana ila unaweza kupata concept.. sorry.
Na kwa USA naamini ni ubepari.... umetengeneza mzunguko wa biashara/pesa hivyo kutengeneza ajira nyingi na watu kupata pesa kiasi kuweza kulipa bills... Nakili kuwa naweza kuwa sijakujibu kitaalam sana ila unaweza kupata concept.. sorry.
unafikiria ni kwa nini wanaafford kulipia na Tanzania inashindikana?