Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC si ipo
Hivyo vyombo ulivotaja kabla ya kutangaza habari huwa wanaipima. Kuna kitu kinaitwa news-worthiness. Yaani hii taarifa inafikia kiwango cha kuwa ni habari? Wao wasikilizaji wao ni wa dunia. Jee Tanzania kufikia lower-middle income ni habari au ni taarifa tu? Kuna nchi ngapi nyengine zime achieve hayo au zaidi ya hayo katika ripoti hiyo ya WB? Wazitaje zote au wachukuwe izilizo vuka malengo na zilizoshuka kiwango kuliko matarajio?
Tanzania ilitegemewa kufikia hapa ilipo kutokana na mwenendo wa taarifa za nyuma yake. Kwa hiyo hiyo siyo habari ya level ya kimataifa bali ni ya Local tu. Kwa hiyo tutegemee kutangazwa na TBC na EATV na local TV nyengine!
Unavosema sisis unamaanisha nnShauri yao sisi tunapaa kiuchumi wao wanapaa na konyagi
TBC si ipo
Hivyo vyombo ulivotaja kabla ya kutangaza habari huwa wanaipima. Kuna kitu kinaitwa news-worthiness. Yaani hii taarifa inafikia kiwango cha kuwa ni habari? Wao wasikilizaji wao ni wa dunia. Jee Tanzania kufikia lower-middle income ni habari au ni taarifa tu? Kuna nchi ngapi nyengine zime achieve hayo au zaidi ya hayo katika ripoti hiyo ya WB? Wazitaje zote au wachukuwe izilizo vuka malengo na zilizoshuka kiwango kuliko matarajio?
Tanzania ilitegemewa kufikia hapa ilipo kutokana na mwenendo wa taarifa za nyuma yake. Kwa hiyo hiyo siyo habari ya level ya kimataifa bali ni ya Local tu. Kwa hiyo tutegemee kutangazwa na TBC na EATV na local TV nyengine!
Unataka watangaze kitu hewa?