Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Msukule wa mtaa wa ufipaCRA'P!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukule wa mtaa wa ufipaCRA'P!!
Kwani shida ni nini? Hutaki Tanzania kuwa uchumi wa hati au vipi? Uchumi kukua haujawahi kumaanisha wananchi watakuwa na hela mfukoni. Ndio maana nimekutolea mfano marekani ambayo ni giant kwa uchumi lakini bado kuna watu wanaishi maisha duni ndani ya hiyo nchi ambapo nilitegemea wananchi wote wangefurahia maisha. Na kiuhalisia nchi yoyote ambayo inafikia level ya uchumi wake kuanza kuwa katika level hiyo lazima wananchi wapige kazi kiuhakika ili maisha yaende vinginevyo watakuwa maskini wa kutupwa. Fuatilia Afrika ya kusini ambayo ni Giant wa Afrika kiuchumi kama wananchi wake wanapata hizo huduma zote unazozitaja. Nafikiri unakumbuka kwa nini walianza kuwafukuza waafrika wenzao na kuwadhuru wakati nchi inaaminika ina uchumi mzuri na unaokuwa kwa kasi.Marekani umewahi kusikia wanalalamika kuhusu maji, barabara, matibabu, shule n.k? sisi tunajidanya wenyewe, kuhusu suala la kujituma hilo halikuhusu sababu sijawahi kukuomba chochote na sitakaa nikuombe mimi binafsi wala familia yangu. Ongea vitu vyenye pointi, huo uchumi wako wa kati unasadifu maisha ya wananchi?
Kwahiyo WB wamekosea?Yaani hawa jamaa ni tatizo kweli kweli! Wengine wanakomaa eti data za kupika wakati wanaona kabisa source ni WB! Labda ni kutoelewa kwamba unapofanya trend analysis lazima uangalie data za nyuma kwa sababu ndizo zita-determine your current and future performance
CRAP!Msukule wa mtaa wa ufipa
CR'APKwahiyo WB wamekosea?
Mbona hili swali hujibu?
Maana unajiiona wewe ndio umefanya analysis ya maana kuliko hao WB,!
Lakini wao wanataka kuaminisha ulimwengu wote kwamba ugonjwa haupo tena!Covid 19 bado Ni tishio Niko hospitali moja huku bila barakoa huingii getini. Halafu mdada mmoja aliniambia mzee wake aliugua, familia yote wakaugua
Hakuna ambaye hapaswi kukosolewa kukiwa dosari labda mtoto mchanga, kichaa na mfu. Shida yangu ni kwanini anashambuliwa Jpm kwa kauli ya kusema tujipongeze na si World bank ambao wametoa takwimu? Kwani Tanzania haijawa mentioned kuwa nchi zinazoingia uchumi wa kati?Unaweza kuonesha ni wapi nimesema Magufuli ana makosa?! Watu for years now tumekua tukisema JPM anavuruga uchumi! Leo hii tumetumia data zile zile ambazo mnazikubali kuonesha ni kweli amevuruga, kwenu inakuwa nongwa!!
Btw, kwani huyo Magufuli ni nani hadi asikosolewe?! Anakosolewa Mungu seuze yeye!!
Acheni habari zenu bhana... nyie endeleeni kufurahia kwamba hatimae uchumi umekua na hivi sasa mpo uchumi wa kati lakini msitake kila mtu awe kama nyie!!
Kakurushia kikofi ukakikwepa,upper cut uliyomrudishia anaugulia nayo,aje atwambie IMEMUINGIAJE.Kutokula wewe haimaanishi mimi sili. Marekani ni nchi namba moja kwa uchumi duniani unafikiri wote wanakula na kulala pazuri? Unafikiri kwa nini baadhi ya wamarekani wanalalamika na kuandamana kuwa ajira zimepungua? Fuatilia utajua nini maana ya uchumi wa nchi kukua. Usipojituma na kufanya kazi hata marekani huli mkuu .
Sasa wapi nimemshambulia JPM?!Hakuna ambaye hapaswi kukosolewa kukiwa dosari labda mtoto mchanga, kichaa na mfu. Shida yangu ni kwanini anashambuliwa Jpm kwa kauli ya kusema tujipongeze na si World bank ambao wametoa takwimu? Kwani Tanzania haijawa mentioned kuwa nchi zinazoingia uchumi wa kati?
Hii benk ya dunia iko kisiasa sana Nayo imekutana lini na watanzania ikagundua wanachopitiaLeo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020
============
Kwahiyo WB wamekosea?
Mbona hili swali hujibu?
Maana unajiiona wewe ndio umefanya analysis ya maana kuliko hao WB,!
Kazi yenu kupinga tu hata vitu ambavyo ni critical 🤨🤨, single minded.NONSENSE! Mimi ndie huwa natengeneza data za World Bank hadi useme napika data?!
Yaani leo magufuli anawasifu MABEBERU!! maajabu kweli sasa wanamdanganya Nani?
Yaani leo magufuli anawasifu MABEBERU!! maajabu kweli sasa wanamdanganya Nani?