Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Tunakuunga mkono... hatufurahii bali tutaungana nanyi kuipinga barua kwa nguvu zote...

Will that make you feel better?
Sasa wapi nimemshambulia JPM?!

Kuna mahali nimesema Tz haijaingia uchumi wa kati?!

Hivi nimesema TZ haijaingia kwenye low middle income level au nimesema kwa GNI per capita aliyoikuta tulitakiwa tumeingia kitambo na badala yake, GNI per capita badala ya kupanda ikawa inashuka na ku-stuck kama ambavyo tumekuwa tukisema mara kwa mara kwamba JPM anaharibu uchumi!

Shida yenu hamtaki kusikia watu wakisema Magufuli anafanya vibaya, and that's it! Na wakati wengi wenu mkisema tumefikia malengo kabla ya muda (2025) lakini ukweli ni kwamba hatujafikia kwa sababu Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2025 umetaja target kwa figure; na kwa speed hiyo hatuwezi kuifikia!!

Na wataalamu waliokuwa wameweka target figure walifanya hivyo makusudi kwa sababu wanajua hivi vigezo huwa vinabadilika mara kwa mara lakini ukifika higher target, unakuwa na uhakika kwamba hata vigezo vikibadilika, huenda kwa "figure hii" bado tutakuwa tunacheza kwenye low middle income!
 
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "

Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali

Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati

Sisi ni matajiri

Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

============


Barua gani haina hata saini. Hii ni fake 100%. Taarifa zote zimepikwa ili kusaidia campaini za ccm
 
''The GNI per capita is usually influenced by factors such as economic growth, inflation, exchange rates, and population growth. To keep the income classification thresholds fixed in real terms, the scale for categorising countries is usually adjusted annually for inflation using the Special Drawing Rights (SDR) deflator.

The analysis is usually done on July 1 every year. Another African country that moved to the lower-middle-income category was Benin with GNI per capita of $ 1,250. The latest achievement puts Tanzania in the same category with Kenya.''

Tumewawashia taa majirani zetu ni swala la muda tu!
 
Tuna amani , hatuna ukabila, maziwa makuu, bahari ya hindi, mito, gesi, mifugo ya kila aina, visiwa,makaa ya mawe, mafuta,mlima mrefu zaidi afrika, milima mingine mirefu zaidi, madini mbalimbali na ya kipekee (Tanzanite), mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, maeneo ya kihistoria na watu zaidi ya milioni 55...

Je, kwanini imechukua miaka 58 kama taifa kufikia uchumi wa kati?

Ni kina nani hao wanaohujumu hili taifa lenye kila kitu kuendelea kwa kasi ndogo namna hii?

Nafikiri kama taifa, baada ya kujipongeza kufikia the so called uchumi wa kati tuwe na mjadala wa kitaifa wa kushughulikia vitu vyote vilivyotufanya tutumie miaka 58 kufikia uchumi wa kati ili hali tukiwa na kila kitu nchi inachopaswa kuwa nacho
 
Haiendi hivyo mkuu.

At least kwa hilo tuwe wakweli.

Mara nyingi (sio mara zote), kasi (rate) huongezeka kadri kiasi kinavyozidi kuwa kikubwa. Haiwi 'constant' wakati wote kama unavyoifanya katika hesabu yako hapo.

Lakini pia 'rate' hiyo huporomoka, kama mfano unavyoonyesha kwenye bandiko la mbele hapo juu.
Namba hazidanganyi mkuu,ni sawa haiwezi kuwa na rate ya constant kwa mwaka kwamba ni 6.6 usd ,nimechukulia kama ndani ya miaka 6 pato limeongezeka kwa usd 40 inamaana evarage ya ukuaji ni 6.6 usd kwa mwaka ,elewa tena ni evarage!!! Yaani labda mwaka 2015 ilikuwa 10usd,mwaka 2016 ikawa usd 8 ,mwaka 2017 ikawa 12usd,mwaka 2018 ikawa 5usd,mwaka 2019 ikawa 5 usd etc sasa ukija kuchukua evarage kwa mwaka ndio unapata hiyo 6.6usd sasa ili tuje kufika 12,00usd kutoka tuilpo now 1090 usd itatuchukua miaka 1600!
 
Asipoelewa aende kwa Ngwajima akaombewe
Kutokula wewe haimaanishi mimi sili. Marekani ni nchi namba moja kwa uchumi duniani unafikiri wote wanakula na kulala pazuri? Unafikiri kwa nini baadhi ya wamarekani wanalalamika na kuandamana kuwa ajira zimepungua? Fuatilia utajua nini maana ya uchumi wa nchi kukua. Usipojituma na kufanya kazi hata marekani huli mkuu .
 
Muda wa kujenga major infrastructure lazima uchumi uyumbe... acha akili za kishirikina.
Narudia hoja ile ile inayowakera Misukule ya Jiwe!!! Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:-

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

View attachment 1495304

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-

View attachment 1495306

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1495307

Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi, na hatimae kudhihirisha kwamba Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake na kuwa tayari kushangilia kila wanachosikia!!
 
Ukiwa huna insurance marekani wanatibiwaje? Only ICU utapokelewa bure na ukitoka bill yako itafuata.

Foleni ya hospitali za bure USA sijui masaa mangapi[emoji3][emoji3] hutoamini..

Na bongo hospitali hakuna dawa wakati wenzetu hospitali unaambulia cheti kajinunulie mwenyewe huko...

Hayo maji bei mbaya...

Barabara shida ipo na msongamano upo ndio maana wanazijenga kila siku... hazijawahi kuwa comfortable as u might think. Huko vijijini za vumbi zipo na zinatope..

Usisahau kuwa kuna za kulipia nyingi sio bure

Shule bure ila kama za kata bongo kwa maana ya utoaji elimu (majengo safi)... wenye uwezo wanatafuta maeneo yenye shule nzuri.. maskini ni kayumba kama kawa... drugs na kukosa walimu na vitabu kama tz.

Huo umeme sio bure..

Infwakt unaongelea nchi la kibepali hivyo kutolalamika kunatokana na kununua...

Kwetu kuna element ya ujamaa .. bei ziwe chini/huduma ikitegemea subsidizes
Marekani umewahi kusikia wanalalamika kuhusu maji, barabara, matibabu, shule n.k? sisi tunajidanya wenyewe, kuhusu suala la kujituma hilo halikuhusu sababu sijawahi kukuomba chochote na sitakaa nikuombe mimi binafsi wala familia yangu. Ongea vitu vyenye pointi, huo uchumi wako wa kati unasadifu maisha ya wananchi?
 
Tuna amani , hatuna ukabila, maziwa makuu , bahari ya hindi, mito, gesi, mifugo ya kila aina, visiwa,makaa ya mawe, mafuta,mlima mrefu zaidi afrika, milima mingine mirefu zaidi, madini mbalimbali na ya kipekee (Tanzanite), mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, maeneo ya kihistoria na watu zaidi ya milioni 55...


Je, kwanini imechukua miaka 58 kama taifa kufikia uchumi wa kati?

Ni kina nani hao wanaohujumu hili taifa lenye kila kitu kuendelea kwa kasi ndogo namna hii?

Nafikiri kama taifa, baada ya kujipongeza kufikia the so called uchumi wa kati tuwe na mjadala wa kitaifa wa kushughulikia vitu vyote vilivyotufanya tutumie miaka 58 kufikia uchumi wa kati ili hali tukiwa na kila kitu nchi inachopaswa kuwa nacho
kwa mazingira mazuri na rasilimali zilizopo tanzania, yawezekana tumekosa sera nzuri za uchumi na kukosa vipaombele kwenye mipango ya maendeleo.
 
Ni Kelli mkuu Dam55
Duh! Hata Lesotho wamo mkuu?, Halafu mh Kabudi si alituambia inaitwa United Republic of Tanzania mkuu?

Nitaendelea kusema siku zote Rais Magufuli anaweka historia ambayo itachukua vizazi vingi hadi kuja kufikiwa na viongozi wajao wa taifa hili.
 
Hongera za pekee kwa Mheshimiwa rais wangu JPM
 
Hiki ndo kipindi raia wamezidi kuishi kama mashetani, hakuna cha uchumi wa kati wala nini..
 
Back
Top Bottom