Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Usiwaze mtot mzuri
Ndo hilo tu dadangu?! It doesn't make any sense... yaani unaibuka from nowhere na kutaka kufahamu maisha binafsi ya watu lakini unaishia kuongea hayo tu?!

All in all, sasa "kukuxaidia" ndo nini?! Sio Facebook hapa dadangu!
 
Usiwaze mtot mzuri
Don't push too hard... wenzako wakiachika, huwa wanaangalia mapungufu yao kuangalia ni kwanini walipigwa chini badala ya kudandia kila mwanaume wanayekutana nae njiani! You're not my type, so stop pushing!
 
1. Maji hapo bado Sana japo WB walifadhiri miradi mingi ya maji lakini vitu vilivyofanyika Ni madudu mtupu... Wakandarasi waliopewa hizo kazi walipewa kwa upendeleo, uwezo hawana na matokeo yake miradi mingi kuwa chini ya kiwango na mwingine Hadi leo haijafunguliwa...

2. Hiyo elimu Ni Bora wapate elimu na sio wapate elimu Bora.... Inasikitisha Sana mwanafunzi wa chuo anamaliza akiwa na Deni kubwa la mkopo, ajira hakuna... Wakati kizazi Cha Chenge,Warioba walisoma bure na kupewa pesa za kujikimu na sio kukopeshwa...

3 Nishati bado kizungu mkuti Bei ya umeme iko juu Sana, Gesi ya Mtwara wanufaika Ni viwanda na tanesco sio raia.... Mafuta Bei juu sababu ya Kodi.

4. Usafiri. Ndege huduma Ni Bei ghari na shirika linajiendesha kwa hasara, SGR haitonufaisha watu wa kusini au kasikazini.....
Hoja zako ni kweli kabisa japo uliyoyataja hayawezi kutatuliwa siku moja na hakuna nchi duniani iliyoweza kukamilisha yote kwa sababu ya mabadiliko ya mahitaji ya maendeleo.

Hata vile tunahitaji kusikia na tuchambue Sera na Mikakati mbadala za maendeleo kutoka upinzani kama zinatekelezeka na siyo madai ya viongozi wake ya Tume Huru ya Uchaguzi wakidhani ndiyo inayoweza kuwaweka madarakani.
 
Kenya tangu 2014 na wametulia tuliii, sisi tumepewa uchumi wa kati wa chini tumeuchakachua na kuwa uchumi wa kati!
Kwani uchumi wa kati wa chini ni uchumi wa chini!!!!!
Hao kenya wako unaona walitulia tulii labda ulikuwa hujanunua smartphone.na bado wako uchumi wa kati wa chini pia.
 
Beberu anajua sana kucheza na akili zetu, akishaona fursa lazima akusifie tuu
 
Back
Top Bottom