Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

Sijaona hoja kwa huyo mama muandishi wa habari. Ni kweli kuna mkopo na anajua na figure anaijua. Hoja kwamba ametengana na mume hiyo unahusikaka vipi na Bank?

Na ni ngumu mwanandoa kuweka nyumba dhamana Bank bila mwenza ku sign.
conjugal house huwa haiwekwi dhamana isipokuwa kwa idhini ya mke na mme kama hilo halikufanyika basi anaweza kushinda hiyo kesi
 
Huyo mwanamke aache uongo bank ukisitisha tu Marejesho lazima waanze usumbufu ikiwa ni pamoja na kuja kwenye kitu ulichoweka dhamana haiwezekani mda wote huo asijui hilo jambo anatoa tu visingozio
 
Huyo mwanamke aache uongo bank ukisitisha tu Marejesho lazima waanze usumbufu ikiwa ni pamoja na kuja kwenye kitu ulichoweka dhamana haiwezekani mda wote huo asijui hilo jambo anatoa tu visingozio
What if huyo mumewe alikuwa anarejesha bila mwanamke kujua then after certain period of time akasitisha na bank ndo wakaamua kuchukua hatua baada ya kuona kimya?
Tusimlaumu huyu mwanamke, tuangalie kwanza hali aliyonayo na watoto kabla ya kumpa lawama huku ikionekana kabisa aliyechukua mkopo ni mwanaume.
 
Kaka yangu kakopa na mkewe hajui chechote mpaka kamaliza mkopo
 
Hata hivyo mabenki ya Tanzania kwa kushirikiana na madalali hupenda kukikmbilia kupiga minada nyumba za wakopaji kama kukomoana tu. Hutoa notisi fupi sana, yaani wiki mbili bila hata grace period.
 
Ok
 
Haina uhusiano kabisa na deni la benki.
 
Nadhani hapo kuna kukomoana tu ....5m mbona linalipika kabisa ......pole sana familia
 
Baadhi ya wanawake wanaujinga fulani hasa wanapopata vimafanikio kidogo kiburi+jeuri ingenoga sana tungepata na stori ya upande wa pili,mala nyingi inaishia kutesa watoto tu
 

5.2m, umesahau riba
 
Nimeona hili tangazo kwa kuchelewa ila inauma sana Kuuziwa Nyumba kwa sababu ya deni la shs Milioni Tano?
Natamani angepata wasamaria wa kumchnagia hata nusu ili akope tena nusu akomboe Nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…