Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

Siamini kama huyo mama halikuwa hajui lakini pia kwa kiasi hicho mpaka bank wameamua kupiga mnada basi kuna uzembe mkubwa sana umefanyika kwasababu mpaka kufikia uamuzi huo kuna mambo mengi yamefanyika hapo
 
Mwandishi wa habari wa Raia Mwema wamemkalia kooni kisa hapendi vitisho.

Yeye anafanya kazi zake kwa weledi bila woga. Mfumo unataka kumtoa roho. Wakati ana kesi ya mahakamani ya 2020 aloandika kuhusu Tanzania kuwa na wagonjwa wa Corona, leo nyumba yake inataka kuuzwa na mahakama kufidia deni la mumewe aliyefariki.

Uhuru wa vyombo vya habari upo wapi?

Awali alikamatwa Mei 2020 na kukaa mahabusu ya Polisi Central kwa siku 14 kwa amri ya utawala wa awamu ya tano kwa tuhuma za kuposti taarifa za wagonjwa wa Covid19 kukimbia Amana Hospital. Akapekuliwa nyumbani kwake kana kwamba ndio mwenye kutunza corona.

Hadi sasa simu za Maria Victor, bado ipo polisi kwa miaka miwili sasa.

Pia soma;


 
Nyumba ya thamanii ya zaidi milioni 50, inauzwa 30.
Hii story ina walakini. Ni ya upande mmoja. Pengine ukimsikiliza mwanaume utakuta mkopo walichukuwa wote kwa kukubaliana kabisa lakini baadae wakafarakana. Nashangaa Tanzania mambo yameamuliwa na mahakama halafu mkuu wa wilaya anahusishwa. Tanzania ni sehemu ambayo watu ni wagumu mno kulipa mikopo na wakishakopa wanakuwa wajeuri sana.
 
Unaweza kuta mchongo wote ni wa Mume, maana hawako tena pamoja na huyo Mwanamke kampeleka Mume wake Mahakamani kwa ajili ya kudai malezi!ya Watoto, Sasa Jamaa kaamua Mambo kijasusi sana!!
Mambo ya ndoa ni magumu na yanapohusisha mali yanakuwa magumu zaidi. Kutokana na uzoefu niliopata kwenye mahusiano na ndoa, katu sitakaa nilaumu mwanandoa yoyote kwa kusikiliza maelezo ya upande mmoja.
 
sukuma gang pamoja na kupigwa na kitu kizito na chenye ncha kali hapo 17/3/2021 lakini baado wana rusha mateke kwa hasira
mungu ndiyo keshaamua hivyo wakae kwa kutulizana
 
Naona watu mnaanza kumlaumu mwanaume, ila kwa mtiririko huu wa story huyo mama alijua kila kitu na yeye ndo anataka kufanya utapeli.

Hakuna bank inayokopesha bila consent ya mke au mume wa mkopaji.

Na mtu unavyokopa ukaweka rehani nyumba hivi unakuwa unategemea usipolipa nini kitokee?
Dunia ishabadirika ndugu, mwanamke anaonekana ni mtu wa kusafiri...kama inavyoonekana mwanaume kamkomoa, siku hizi watu wanatafuta mwanamke wa wa muda ana.act kama mke wake wana sign document zote ( wakijua ni mke wake kumbe sio kweli) kinachofuata hela inatoka,

Ndio wananaza kufuatilia mgogoro huo wa kisheria..hapa kazi. Ipo
 
Sijaona hoja kwa huyo mama muandishi wa habari.
Ni kweli kuna mkopo na anajua na figure anaijua. Hoja kwamba ametengana na mume hiyo unahusikaka vipi na Bank?
Na ni ngumu mwanandoa kuweka nyumba dhamana Bank bila mwenza ku sign.
Mwanaume kakopa ki Siri Siri bila mke kuhusika katika Documents hizo na kisheria dada wa watu anayo haki nyumba ni Yao sio ya mme tu
 
Ndio maana siku hizi Banks wapo makini loan inabidi kama ni collateral nyumba saini za wote wawili na ikibidi proof ya wote wawili..., Benki hapo nyuma walipata tabu sana wakija kuomba chao wanaambiwa nyumba ya familia !!!

By the way valuation waliyoweka wenyewe ya hio nyumba ni ngapi ?; Ofcourse mwisho wa siku ukiwapa chao chenji wanakurudishia au wanachukua chao plus overheads za mnada chenji unapewa....

All in all Mikopo hususan biashara za kubahatisha za Bongo its a shortcut to Poverty....
 
Mizizi ya Sukumagang bado inachipuka. Mwandishi wa habari wa Raia Mwema wamemkalia kooni kisa hapendi vitisho.

Yeye anafanya kazi zake kwa weledi bila woga. Mfumo unataka kumtoa roho. Wakati anakesi ya mahakamani ya 2020 aloandika kuhusu Tanzania kuwa na awagonjwa wa Corona, leo nyumba yake inataka kuuzwa na mahakama kufidia deni la mumewe alofariki.

Uhuru wa vyombo vya habri upo wapi?

Awali alikamatwa Mei 2020 na kukaa mahabusu ya polisi Central kwa siku 14 kwa amri ya utawala wa awamu ya tano kwa tuhuma za kuposti taarifa za wagonjwa wa Covid19 kukimbia Amana Hospital. Akapekuliwa nyumbani kwake kana kwamba ndo mwenye kutunza corona.

Hadi sasa simu za Maria Victor, bado ipo polisi kwa miaka miwili sasani.

Pia soma;


Sina vimelea vya Usukuma ipa twende mbele, turudi nyuma benki waliyokopa ipo owned na Sukuma Gang?
 
Hapo solution ni kusikiliza pande zote mbili, wawepo mke na mume ndipo tujue ukweli wao
 
Back
Top Bottom