Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

Unakopa bank gani? Unakopa ili ufanye nini? Umeshirikisha familia? Riba yao ni kiasi gan? Masharti/Vigezo vyao je? Jiulize haya kwanza
Tatizo hakumshirikisha mke wake, mbona mke wake angekopa kazini na kulipa deni la bank!
 
Kisheria bank haiwezi kuuza collateral ya marehemu kuna insurance ambayo huwa inafanya kazi pale mkopaji anapofariki au kupata ulemavu au magonjwa ya kudumu labda km alikopa kwenye micro credit
 
Hii kesi tusijaji upande mmoja,

Huenda Kuna kitu nyuma ya pazia huyu MKE anatuficha.

Hakuna mwanaume mjinga wa kiasi hicho kwa nyumba ya thamani iyo afu akakopee mkopo wa million 5.

I smell something fishy
 
Huyu mwanamke aache kuficha ficha vitu
Kuna kitu kinaendelea ndan ya wanandoa hao
 
Unaweza kuta mchongo wote ni wa Mume, maana hawako tena pamoja na huyo Mwanamke kampeleka Mume wake Mahakamani kwa ajili ya kudai malezi!ya Watoto, Sasa Jamaa kaamua Mambo kijasusi sana!!
Yah! Jamaa kapiga kwenye mshono
Hii ndo dawa ya wanawake wanaojifanya bush lawyers
 
Kiasi kilichobaki kwenye mauzo nani alipewa.?
 
Mikono mikopo mikopo...inaumiza Sana..hata hivyo huyo mume hakufanya vizuri kutomshirikisha aliyekua mke wake..sasa wanapenda kuteseka ni watoto.
Kopa kwanza kwa malengo, halafu uone kama hiyo mikopo inaumiza. Labda kama unakopa Bayport au Platinum.
 
Hiii ilitokea sehemu kama ulivyosema
 
Wabongo mnapenda sana kupepeta midomo kuliko kusoma taarifa kamili.

Hiyo taarifa inaonesha huwa jamaa yake kawafanyia makusudi.
Kacheza mchezo kwa aliyekuwa mama watotot wake
Huyu mwanamke aliolewa na taahira jamaa anawatesa watoto wake akijua anamtesa mwanamke😆😆
 
Kisheria bank haiwezi kuuza collateral ya marehemu kuna insurance ambayo huwa inafanya kazi pale mkopaji anapofariki au kupata ulemavu au magonjwa ya kudumu labda km alikopa kwenye micro credit
Uko sahihi. Siku hizi Mikopo ya Bank ina insurance protection kwa kushirikiana na Makampuni ya Insurance. Kwa maaba kuwa premium inayokatwa kutoka kwa mkopaji, Bank ina transfer risk kwenye Insurance Company amboyo ina turn inalipa kama imetokea ulivyoeleza.
 
Tunapojadili
Tukumbuke pia huu mkopo mume kauchukua benki inayoitwa FINCA MICROFINANCE[emoji38]
 
Kacheza mchezo kwa aliyekuwa mama watotot wake
Huyu mwanamke aliolewa na taahira jamaa anawatesa watoto wake akijua anamtesa mwanamke[emoji38][emoji38]
Kama hujawai kukutana na mbilinge za wanawake wa ki-beijing huwez kuelewa alichofanya jamaa.

Tatizo Hii story tumeskiliza upande mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…