Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Uncle @mshamba_hiyo dislike na tusi naomba ufute umenionea.
Mbona wale wanaopush ajenda za kubomolewa vinyeo huwapi dislike na kuwatukana.
Ina maana kufundishana kuhusu paka forum itaharibika ila contents za upinde na vinyeo forum haiharibiki?
haya bwana,

kila mmoja na afanye vile apendavyo

mods ndo waamuzi sio mimi
 
Paka ni mnyama msafi mkuu.
Ukiona anajisaidia ndani au kwenye unga ni hajaandaliwa sehemu yake ya kujisaidia?
Hivi mtu akikupiga na wewe buti utajisikiaje?
Kama Kulia kwake kunakukera means sio mpenzi wa paka so usiwafuge kisha uwatese.
Na wao wanaumia kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…