Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Bado nakusoma, huu mwandiko umekuja style ya memba flani(RIP), nahisi nawe utakuwa kama yule ila kidogo uta-act wa kishua. Hata mie na uzee huu sometimes for the sake of my mental health huwa nasoma hizi blah blahs kwa minajili ya relaxation.
So you're in between Benz and Pussy, this sounds transgender or probably your hormones are fifty fifty both ways. I'm still trying to read you between the legs, oops sorry I meant to write between the lines.
 
Paka wwangu nimetengenezea vi shelf vya kurukia na kupanda juu ya ukuta na kibanda chake, anapenda sana, humtowi huko.

Paka wangu nimemzowesha jina lake, sasa kalizowea, hata akia haonekani, ukimwita mara mbili tatu, utamuona huyo kaja. Na kama huko alikokuwa alikuwa na kazi nyingine ana mlio wake analia, kama vile anakujulisha "nilikuwa busy". Na kama alikuwa kakaa kapumzika sehemu ana mlio wake mwingine, kama anakwambia "mbona unanisumbuwa nimepumzika?".

Na akiwa na yeye alikuwa ana hamu ya kukuona, basi hasemi lolote, anakuja moja kwa moja anakupitishia mkia miguuni kama anajipitoisha akuparaze nao. Hiyo inamaanisha aliku miss, ulikuwa wapi?

Paka ukiishi nao sana, ni lazima utaongea nao kwa lugha mtayoelewana. Cha ajabu, paka wa Tanzania na wa nje ya Tanzania lugha zao zinafanana sana. Tofauti ni maringo tu.
 
Sijui hata umeandika matakataka gani, moods hebu fute hizi news zinajaza saver tuu...
 
Wewe ni yupi katika hawa?
 
Paragraph ya mwisho imenivutia sana.
Paka ana akili na upendo sana na ni mlinzi mzuri dhidi ya wadudu wabaya
Watu hawajui tu,ukishafuga paka hutakaa tena uweze kuishi bila paka.
 
Nenda katafute mapanya huko usituchanganye sisi
Wewe ni binadamu tu, usitake kujipa umaarufu hapa eti wewe ni paka!!!
Japo mie napenda sana paka ila umefeli namna ulivyoleta uzi wako!
Najua hujapenda hii comment, acha ufala, utashenyentwa, boya wewe!
 
Kabisa.
Mimi napenda jinsi anavyoonyesha na kupokea upendo kwa watu wa familia yake.
Huyu wa kwetu yeye hana sehemu maalum ya kukaa ila popote anapokaa mwanafamilia na yeye atakuja kujibana hapo hapo.

Usiku huwa habanduki chini ya kitanda cha mwanangu.
Hata ufanyaje hatoki hapo mpaka huyo mtoto aamke.
 
Paka wako ana umri gani?
Anafurahisha sana.
Paka kama huyo akiumwa unaweza hata usiende kazini.

Tofauti ya maringo yao ni ipi mkuu?
 
Nilidhan cat uipendayo unamaaniasha pussie
 
Afya ya akili ni changamoto sana kwenye hili taifa. Mkuu Benzie Achana na hao wengine kuna watu wamekua miili ila kiakili bado. Imagine kuna wazazi wa watu humu na wanaandika ujinga?
Tunaopenda paka tupo humu, nilifurahi sana kuona huu uzi japo kuna wapuuzi wamevamia wanaongea ujinga ujinga mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…