Musiba ni mchawi kwelikweli. We jiulize kwa nini hakuna aliyeweza kumgusa hadi sasa zaidi walikimbilia mahakamani. Maana tuliambiwa like kikundi ni mamafia sana, lakini kwa musiba sijui wameshindwaje
BIBLIA INAANDIKA ISIMUACHE MCHAWI AISHI, TATIZO KUUTHIBITISHA NDIPO SHUGHULI ILIPO! πŸ˜‚
 
Hawa watu walijua shida tumeumbiwa team Magufuli
Piga mabomu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Wazuri hawafi, alisema Mzee Makamba, RIP Membe, kila nafsi itaonja mauti, na duniani tu wapita njia tu mambo ya kujipiga kifua na kujiona mungu mtu ni ujinga tu ,wanadamu yatupasa tuwe wanyenyekevu, kuna watu wengine tena watu wazito wanashangilia vifo vya wenzao,hata kama mtu humpendi kwa jadi yetu sisi Waafrika hatupaswi kushangilia kisa tusiompenda kaondoka kwa hiyo sasa ndio muda muafaka wa kulamba asali. RIP brother Membe Mungu akuondolee adhabu ya mauti,sote tu wakosaji kutokana na tamaa za kidunia ambazo hutujaza kiburi na kuona hakuna wengine zaidi yako mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…