Umenifumbua macho

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mungu ndo jaji mkuu,si unaona kaamua mazima?Hata angekata rufaa asingeshinda. Bora amekata rufaa kwa Mungu.
Hiyo ni HBP ilianza baada ya kuambiwa akipiga hii (kulipwa na Musiba) atapumzika moyo wake utatulia.

Likianza zogo, basi huwa ni HBP kwenda juu na unakuwa hutulii na hiyo huathiri afya.

Ni HBP imeharibu.

Ukifika umri huo ni bora mazoezi magodomadogo, kutembea, kunyanyua vyuma vyepesi na kadhalika.

Ukipata nafasi ya kusafiri wakwea pipa kusafisha macho.

Hii dunia ni mapito tu, binadamu tuache mazogo yaso na msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…