Kwa mara ya kwanza nakupa Like yangu.

Watulie na wayapokee. Mwingine anadondoka kesho mchana
 
Wewe tulia, muhusika kaondoka. Familia wala haitaendelea na hili. Wao wanaachana nalo hili.Ninajua kuna kurithi wadai na wadaiwa.Ila kwa hili la kesi ya Musiba,Familia inaliacha linaondoka na aliyepeleka kesi.
Watu waliumia mno wakati msiba wa mpendwa wao JPM upo Chato, sasa wao wanalia, na je, WanaJPM wacheke kama walivyofanya wao?
 
Magonjwa yetu haya haya ya kisasa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…