[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bado muuza ngada wa msoga the chegovara huyo sidhani kama 2025 tutakuwa naye ...nitakuwa na furaha kwelikweli ili takataka la msoga...shetani akilichukua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mzee wa msoga VASCO DA GAMA WA KITANGANYIKA.
 
Dah! Maisha yetu tunatembea nayo mkmikononi mwetu. Mola ilaze roho yake mahali pema peponi. Mzee Makamba alitufundisha kuwa watu wazuri hawafi, imekuwaje tena!

Yaani Membe mauti yamemkuta ghafla ndani ya siku 14 alizotoa ultimatum kulipwa B9 zake?
 
Serikali hailogwi he must pay and he will pay! Hakuna Justification kwamba Musiba amehusika na kifo Cha BM,amekufa natural death! The only thin Deni lisilipwe Ni Msiba na familia yake yote kids au kusamehewa
Unajua matamanio hayazidi uhalisia, wewe haya ni matamanio yako Ila ulipaswa Kuna vitu ujiulize kabla ya kutamani hivyo.

Sio rahisi, nimekueleza hapo hapo sio rahisi kihivyo. Bongo mahakama haina nguvu kwa baadhi ya watu. Mahakama Ina nguvu kwako, sio kwa wote ndio maana hata yule jaji wa mahakama kuu huku yake ilichanwa na hakuna kitu alifanya

Kitendo cha musiba kukataa wito wa mahakama, ilitosha kwanza kupewa adhabu ya kifungo. Lakini jiulize amekataa wito wa mahakama, na bado amekataa hukumu ya mahakama. Alafu yono madalali ambao walipewa kazi leseni yao ikazuiwa
 

ATAKATA RUFAA, NA MDAI HAYUPO ATATUMIA NGUVU NA RASIMALI KIDGO SANA NA KESI ATASHINDA TUNZA HII COMENT
 
Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe ...
Afadhali kafa. Kachero gani kaifikisha nchi hapa tulipo.

Hawa mbwa wana nafasi kubwa sana kuiweka hali ya nchi katika hali imara.

Wamechekezea posho na mishahara na kuitelekeza nchi katika lindi la wizi na ufisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…