Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Pole kwa familia kuondokewa na mpendwa waoAliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufarik...