Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Naona Kuna ukusini na usukumani. Muende taratibu msije mkatuletea mambo ya watusi na wahutu
 
Duh
 
Mkuu umetisha. Daah!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezeaa game weyee, kosa 1 mistake, 1 goal. Uwiiiiih
 
Aisee![emoji848][emoji848][emoji848]
 
Magamba matatu au maharagwe ya wapi sijui. Wakiandika neno, kua makini Sana.
 
Unawazungumziaje kundi Lile lililomuondoa shujaa mwendazake[emoji848]
 
Unawazungumziaje kundi Lile lililomuondoa shujaa mwendazake[emoji848]
Watajuana wenyewe, maana zote hizo ni tamaa za kula mali ya nchi wao pamoja na familia zao, inafika mahali kuna baadhi ya familia zina red dots lakini bado haiondoi uhalisia kwamba mwendazake ameacha alama mbaya, ameua na kuteka wengi, ameliza familia nyingi tena waziwazi bila woga, ameacha vilema wengi, homeless, mayatima na wajane, na mbaya zaidi ameiacha nchi katika chuki na mgawanyiko mkubwa

Yeyote aliendoa uhai wake amefanya kwa maslahi ya wengi, tuishi humo, maombi ya wengi yalijibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…