Naona Kuna ukusini na usukumani. Muende taratibu msije mkatuletea mambo ya watusi na wahutuHuu uzi unazidi kuwachafu watu ya kanda yq ziwa, unafanya wasukuma waonekane ni waty wabaya kuahi kutokea hapa Tanzania kwa ukatili wao na matendo yao ya uuwaji, utekaji na uonevu wakiongozwa na shujaa mwendazake
Itafika mahali hizi chuki zitawajaa watanzania na wasukuma watakua kwenye hali ngumu sana
Kwa mkondo walioamua kuufuata watawala, sioni kama tutaweza kuepuka.Naona Kuna ukusini na usukumani. Muende taratibu msije mkatuletea mambo ya watusi na wahutu
Akiwa 70 years!Tena hakiwa hana cheo chochote!.Acha apumzike umri umeamua.Hatimaye aliyesherehekea kifo cha mwenzake naye kalamba nchanga.
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Bahari imetulia, Mungu anaendelea kuamua ugomvi.
Humu kuna watu wanaogopesha! Ni hatari mkuuMkuu, unatisha
DuhNilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Mkuu umetisha. Daah!!Shkamoo Jasusi.
Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".
Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.
Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.
Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?
MICROPHONE CHECK?
ONE TWO MICROPHONE CHECK?
TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]
Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?
Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezeaa game weyee, kosa 1 mistake, 1 goal. UwiiiiihMkuu amini usiamini kuna watu wana midomo mibaya, wakisema yanakuwa kweli! Kwa kweli hata mimi kuanzia leo, natangaza rasmi kumheshimu Bwana Mkubwa TumainEl. Much respect to you brother!
Umenikumbusha kale ka clip kake kalikovuja!
Kwamba eti jamaa anashindwa kufunga wakati goli liko wazi...
Kumbe kwenye kufunga kuna kufungwa pia!
HatariiiiiSio poa
Aisee![emoji848][emoji848][emoji848]Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Magamba matatu au maharagwe ya wapi sijui. Wakiandika neno, kua makini Sana.Nimekuwa JF kwa zaidi ya miaka 13, sijawahi kuona mtu hatari zaidi ya TumainiEl , miaka ya nyuma aliwahi kutabiri utawala wa Rais mwanamke kabla ya 2015.
Tena alisema huyo Rais itakuwa ni temporary tu, yupo mtu ameandaliwa na mtandao fulani. Dah yani acheni tu hii JF hapana kabsa
Muongeze Tumia akili
Maharage ya UkweniMagamba matatu au maharagwe ya wapi sijui. Wakiandika neno, kua makini Sana.
Unawazungumziaje kundi Lile lililomuondoa shujaa mwendazake[emoji848]Huu uzi unazidi kuwachafu watu ya kanda yq ziwa, unafanya wasukuma waonekane ni waty wabaya kuahi kutokea hapa Tanzania kwa ukatili wao na matendo yao ya uuwaji, utekaji na uonevu wakiongozwa na shujaa mwendazake
Itafika mahali hizi chuki zitawajaa watanzania na wasukuma watakua kwenye hali ngumu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thubutuuuuuu, watoto wa kariakoo watabagazwaa na wa linguse nguse hadi waite maji mma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumekuchaaaaaaa
Watajuana wenyewe, maana zote hizo ni tamaa za kula mali ya nchi wao pamoja na familia zao, inafika mahali kuna baadhi ya familia zina red dots lakini bado haiondoi uhalisia kwamba mwendazake ameacha alama mbaya, ameua na kuteka wengi, ameliza familia nyingi tena waziwazi bila woga, ameacha vilema wengi, homeless, mayatima na wajane, na mbaya zaidi ameiacha nchi katika chuki na mgawanyiko mkubwaUnawazungumziaje kundi Lile lililomuondoa shujaa mwendazake[emoji848]
Kuhusu kichwa cha habari Membe aingia ndani ya 18 ya genge la Musiba ulimaanisha hivi?.Aya nenda Kanye ukalale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]