Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Mimi kama jiniasi wa mambo ...nasema na kushauri kuwa Musiba asiwe na wasiwasi kuna hekima kubwa sana kama wahuni wa msoga wakidhurumu mali yake kutakuwa na faida kubwa sana kwa tz na kwa Musiba mwenyewe yeye musiba anatakiwa kujidai mnyonge tu . Ili wahuni wa msoga wafanikiwe kumpora hizo mali maana wakifanikiwa hofu kuu itakuwa juu yao wenyewe. Kwa kutumia akili tu mafisadi nchi hii awajawai kufanyiwa kitu chochote cha kufilisiwa mali japo ni mafisadi wakubwa ... sasa inakuwaje Musiba wamfilisi mali zake eti kisa maneno tu aliyo sema

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Wewe upo nyuma ya wakati na uwe unafanya research kabla ya kuongea. Membe kafungua kesi hii Mwaka 2018, tena watu walimkejeli Sana na kumcheka wakisema mahakama imeshikiliwa na Magufuli. Wewe leo unakuja na uongo wa kutunga hapa. Acha hizo.
Umedandia treni kwa mbele Sababu hujui kinachoendelea. Unaandika andika tu vitu kuhusu hii Story. Hatukurupuki kuandika kama akili yako inavyokuongoza. Bakiza maneno ya kuongea sababu wanaojua kinachoendelea wanakucheka.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Watawafanyia figisu brokers wote?
 
Anabadirika mpiga mnada. Wapiga minada wapo wengi tu mkuu. Labda membe aamue yeye kupooza doso
Hii kesi ni kitanzi kwa team msoga ....mimi nakuambieni kweli kama mnayo akili mtajua nini ninasema kitu ambacho msiba anatakiwa kufanya ni kuwaacha tu wafanikishe nia yao ovu wote walio walio panga hii nia kwa kutumia wahuni wao waliopo mahakamani wakijidai ni mahakimu ...baada ya kupora mali ya musiba basi faida kubwa itapatikana upande wa wazalendo na musiba mwenyewe ..... maana hiki kitendo kitawa cost sana ....ila nina hakika wahuni wa msoga wanajua vyema ili jambo uenda wao wenyewe ndiyo wanakwamisha hii hukumu ili kumjambisha musiba tu ...ila kiukweli nilitamani sana wahuni wa msoga wafanikiwe kumpora musiba mali zake chakusikitisha ni kwamba wahuni awata fanya hivyo

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
 
Ushauri wangu ni bora aende kumuona Mh Rais Dk Samia Sulluhu Hassan maana ana kila kitu cha kuweza kumsaidia kuliko kwenda kwa hao viongozi wa kiimani ikishindikana hapo basi.
 
Nilisema haya mambo yako deep! Unakuta kuna pande zilikuwa zinashughulikiana na kwa nyakati hizo yumkini sababu zilikuwepo na waliokuwa nyuma ya Musiba wapo.

Membe pia anajua kila kitu ndio maana pamoja na connection zake za ndani lakini bado akatumia mahakama! Msifikiri Jasusi kama Membe anaweza kuwa vitani na Musiba! Membe anashughulikiana na wanaofahamiana vyema.

Huko ndani CCM wanajua picha yote sisi huku nje tunashabikia tu. Acha tuwe wapenzi watazamaji tutaona hii sinema itavyoisha.
 
Ushauri wangu ni bora aende kumuona Mh Rais Dk Samia Sulluhu Hassan maana ana kila kitu cha kuweza kumsaidia kuliko kwenda kwa hao viongozi wa kiimani ikishindikana hapo basi.
Wewe akili zako ni 0 kabisa wewe unashindwa kijiuliza kwa nini mahakama za tanzania zimeshindwa kutoa hukumu kama hiyo kwa mafisadi wa hii nchi ila imeweza kutoa kwa Musiba kisa maneno tu ....huyo sa100 ni team ya wahuni na mahakama imepokea maagizo kutoka kwa hiyo team

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Ya kwamba huyo kigogo yuko juu ya mahakama?
Ya kwamba huyo kigogo yuko juu ya sheria na hata mhimili uliojichimbia chini sana?
 
Sema wewe kumbukumbu ilikuwa lini.
Ile makala ya Tanzanite nadhani ilikuwa inasema Membe ame-redirect certain funds,akazipeleka kuendeleza jingo lake la Uchaguzi. Sidhani kama Musiba alimuita Membe mwizi. Na Membe alikuwa amekwisha back down. Isipokuwa ghafla akapata ujasiri mpya,no doubt after drinking many glasses of wine.
Kwa hiyo alienda mahakamani akidha dhani tu?

Kwa nini usijipe nafasi kutafuta na kujua chanzo na mwenendo wa kesi yao? Maana Membe alieleza lilivyoanza, akaenda kwenye chama chao hadi mahakamani. Tafuta utapata.

Palipo na facts na evidences tunaongozwa tuvitumie hivyo badala ya maoni na hisia zetu.
 
Je yote yanayofanyika juu ya Mali za MUSIBA kupigwa mnada nikwa amri ya MAHAKAMA?. Au amri ya MEMBE?. Je kuna watu wanaweza watu wengine kutekeleza Maamuzi ya MAHAKAMA, naamini kama wapo basi nae ni mmoja tu ambae ni Raisi wa nchi ambae nae atafanya bila kufata Sheria na Taratibu.
Huyo ana jifariji tu,kwani YONO ni dalali wa mahakama,hata kama ataondolewa wapo wengine kama 20 hivi,Hivyo kazi atapewa mwingine.
 
Back
Top Bottom