Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Wewe ndiyo zwazwa hizo kesi wanazobambikiwa wapinzani hufanywa kwa idd Amin dada?
Ukiwa upinzani na unavunja sheria unakuwa na IMMUNITY EEE?!!

LIJUALIKALI kakiri alikuwa anavunja sheria Mara nyingi ndo Mana yalimkuta....wee NI wa kile chama Cha matukio CDM?!! HAMNA TOFAUT NA WALE WAANDAMANAJI WA MAREKANI WANAOHARIBU MIUNDOMBINU kwa kisingizio cha marhm Floyd...kalaghabaho
 
Waitara hapati ubunge Tarime, hata kama atasaidiwa na polisi wote wa mkoa wa Mara! Hicho mnachosema ni uoga tu. Ni hivi kwenye uchaguzi mkuu polisi na wakurugenzi hawana ubavu wa kupindua matokeo katika maeneo ambayo wananchi wanajitambua. Muulizeni Sirro pale Mwanza wakati wa kumtangaza Wenje, au Ubungo kwa Mnyika wakati ule. Mchezo

Angali ulivyo mpuuzi sasa, hii CCM ya awamu ya Tano ina wanaCCM walioiva itikadi au wasubiri makombo? Wewe ndiye huelewi chochote,mwaka utashuhudia usiyoyatarajia...wenye mbwa tayari wanafahamu hili!
Nikuulize hv toka uzaliwe umeshawah kumwona katibu mkuu wa CCM anavyofanana na MISINGI YA CCM km Dr Bashiru Ally?!!!
Hv CCM ile ya kurithishana vyeo ndio ilikuwa nzuri....CCM YA KINA MAKAMBA na kina nape NDIYO iliyokuwa na ITIKADI usemayo?!!!!
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Mkuu unaonaje kama wakiwaeka B,Membe na T.Lissu kama partners?Tutapata Kura za sympathisers and kura za anti CCM.Tunajua kuwa Membe anao uwezo wa kugawa opinions ndani ya CCM na Lissu anao uwezo wa kugawa opinions nje ya CCM.Wakikaa pamoja watafikisha ujumbe kamili.
 
Tundu is is not that much popular inside party inner circles!!!

He is only supported by internet keyboard warriors who are nobody's in Chadema politics and decision making!!

Anyway what you are trying to portray is you want to show that Tundu Lisu is a presidential material inside Chadema but you are wrong

If Lisu was a presidential material he could have got support from all Central committee members but they have decided to take presidential nomination form to challenge him openly!!

Mbowe , Nyalandu and Msigwa all are Central committee members who know what is what inside Chadema bedroom that is why they have come out to challenge Tundu Lisu.A thing that is an open signal that inside things are not as they are potrayed outside!!!

Tundu is trying to paint a faint fake picture in social networks that he is the Chadema choice!!! But the truth he is not

Tundu Lisu is operating in the airwaves where there are not decision makers while his fellows operate on the ground where there are decision makers and rub shoulders with them and drink coffee with them
Kwa Kiingereza fasaha ungesemaje kwa mfano? Tumia tu Kiswahili, achana na aibu hii.
 
Mkuu unaonaje kama wakiwaeka B,Membe na T.Lissu kama partners?Tutapata Kura za sympathisers and kura za anti CCM.Tunajua kuwa Membe anao uwezo wa kugawa opinions ndani ya CCM na Lissu anao uwezo wa kugawa opinions nje ya CCM.Wakikaa pamoja watafikisha ujumbe kamili.
Kusingekuwa na Udikiteta wa Naibu Rais na mtukufu lazima Tundu lisu angesimama hapo unaposema lakini kwa hali ilivyokuwa sasa ni vigumu Tundu lisu kufanya kampeni kwani CCM wamemuandalia mitego mingi ya kumtokomeza kisiasa kwa mujibu wa Le mutuz ambaye ni msiri na mashauri mkuu wa Naibu Rais ndugu Daudi Bashite
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Kumbe wakati mwingine unawekaga ushabiki pembeni mbali kabisa, maono yako yako poa kabisa
 
Kwa Kiingereza fasaha ungesemaje kwa mfano? Tumia tu Kiswahili, achana na aibu hii.
CCM huwa wanafiri kuwa kuongea au kuandika kingereza ni Usomi wamesahau kuwa wapo wazungu wazaliwa wa London Scotland Ireland hawajaenda shule lakini wanaongea na kuandika kingereza kizuri kiliko cha mwana CCM yeyote, hata mwenyekiti wa CCM Taifa hapendi kingereza ndiyo maana anamuhimiza Mwakyembe akieneze Kiswahili Duniani kote.
 
Ni kweli kabisa

Hiyo nafasi anastahili mpinzani mmoja tuu, naye si mwingine ni Shujaa Tundu Lissu, ili apambane na huyu Jiwe ambaye, utawala wake tumeshuhudia akitumia vyombo vya dola vibaya kwa kuuminya upinzani ili usifurukute
Hahaha unamzungumzia Lissuu Huyu ambaye anasubiriwa kwa hamu na polisi awekwe ndani yeye na dereva wake
 
Ukiwa upinzani na unavunja sheria unakuwa na IMMUNITY EEE?!!

LIJUALIKALI kakiri alikuwa anavunja sheria Mara nyingi ndo Mana yalimkuta....wee NI wa kile chama Cha matukio CDM?!! HAMNA TOFAUT NA WALE WAANDAMANAJI WA MAREKANI WANAOHARIBU MIUNDOMBINU kwa kisingizio cha marhm Floyd...kalaghabaho
Lijuakali ni muhuni alivaa mask wakamshambulia mbowe usiku na kutokomea majumbani mwao maana wangekuwa wageni walinzi wangewajua wangewaona getini, Lijuakali kapewa mgoa wa bilion 12 toka kwa Ndungai kajitoa fahamu zote anaipakazia chadema chochote anachokiona kitawapendeza CCM wanaomtuma, wapinzani hawavunji Sheria bali CCM ndiyo wamevunja Sheria na katiba kuzuia mikutano ya siasa ambayo ni haki yao kikatiba.
 
Hahaha unamzungumzia Lissuu Huyu ambaye anasubiriwa kwa hamu na polisi awekwe ndani yeye na dereva wake
Dereva wake hawezi kuja baada ya chadema kugundua akina cyprian Musiba walipeleka Bajeti kwa Naibu Rais wapewe bilion moja wampe Dereva wa lisu milion 500 amsariti Lisu wajipe milion 400 cha juu wapate kutengeneza propaganda kibao juu ya mbowe na kuichafua chadema, hakuna mwanachama wa chadema hajui njama hizo na wanajua chadema imekuwa mtaji wa madalali wa siasa huko CCM, kila dalali wa siasa hutumia chadema kama kisingizio kula pesa za CCM:
 
Chadema yupi kapigwa risasi na kudhoofishwa na CCM ama polisi?!!!! Hzo uzungumzazo ni paukwa pakawa EEE?!!
Mzee wewe upo sayari ipi? au upo mwenzini haupo Duniani? Kama upo Duniani iweje umejitoa fahamu kiasi hicho?
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Siamini kama CHADEMA hii itafanya tena kosa la kuleta MAOTEA ya CCM (au matawi yake) awe Membe au mwingine yeyote.
TUMESHAMALIZA kukisafisha chama kwa gharama kubwa sana, kwa kweli sitegemei kabisa tuletewe tena utani wa kukichafua.
Ikitokea sitaunga mkono ujinga huo. Amen.
 
Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!
Waafrica na hasa Watanzania tunashida na tuahitaji msaada

Tunahitaji ukombozi na ukombozi tunaouhitaji sio wa kubadirisha Chama, hiyo haitatusaidia, ukombozi wetu ni akiri ya kuona mbali na kukingojea hicho cha mbali licha ya kwamba kabla ya kukifikia kile cha mbali hapa katikati tunaweza kupitia mateso makali, lakini tu tukipate kile cha thamani kiletacho ukombozi wetu kamili

Mkuu, inaonyesha umesahau tena, 2015 tuliimba nyimbo hizihizi, kwamba hata kule CCM watakuwa wamekichoka Chama Chao, tutamweka Lowasa ilimradi Tu, tunawatoa CCM

Tukaingia ulingoni tukiwa na turufu hiyo ya watu lundo kutoka CCM, lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi

Leo tena unakuja na ngonjera ileile? Hivi mmelogwa? Unamsema Membe, ambaye hata ule umarufu wake haufikii hata robo ya Lowasa?

Membe, hafikii hata umarufu wa Lisu?

Tukijua kwamba kuchukua Dola ni mipango na shabaha mathubuti?

Yesu, Baada ya kufanya huduma yake Kwa muda, aliwauliza wanafunzi wake kuwa, hivi! Watu wananisemaje huko mitaani? Aliuliza hivyo ili kutathimini namna gani jamii inamchukulia,

Inawezekana hata hiyo tathimini nyie hamfanyii kazi mnajiendea Tu kama nyumbu

Membe ni Nani?? Membe mbele ya upepo mkali wa JPM, Mtajiona kama mapanzi mbele ya jabali JPM
 
Watetezi wa CCM wapo gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wanavuta Bangi kisha kukariri ujinga wao kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, tizama utetezi wao wote unafanana kwa kuwa walimu wao ni vilaza watupu, wale CCM wachache wanaojitambua wamegoma kwenda kukariri ujinga Huko
 
Lijuakali ni muhuni alivaa mask wakamshambulia mbowe usiku na kutokomea majumbani mwao maana wangekuwa wageni walinzi wangewajua wangewaona getini, Lijuakali kapewa mgoa wa bilion 12 toka kwa Ndungai kajitoa fahamu zote anaipakazia chadema chochote anachokiona kitawapendeza CCM wanaomtuma, wapinzani hawavunji Sheria bali CCM ndiyo wamevunja Sheria na katiba kuzuia mikutano ya siasa ambayo ni haki yao kikatiba.
Hzo nyumba za wabunge usemazo Wala hakuna huo ulinzi tight unaousema......wadau wengne wanipinge kwa hili....
Wabunge ni WAWAKILISHI wa wananchi,WAKIWA majimbon mwao tunawaona...WAKIWA dar tunawaona......haya lini umeskia wanalindwa km alindwavyo PM ama spika?!!!

Kwa issue ya kumtuhumu LIJUALIKALI ninaona km unapwaga PETTY issues tu...kisa mke kaomba talaka....

CCM haiwez kununua watu kwa eti hyo bilioni 12..mbona CCM imesheheni vijana wengi wenye uwezo km sisi tuko mitaani huku.

Maneno yako ni agenda MAJITAKA....

Mtueleze mh.Mbowe huwa anatembea na wale VIJANA wake...walikuwa wapi?!!!
Je dereva wake hamfikishi bosi wake mlangoni kuingia ndani kwake kwa kuwa hakuwa na Cha kumbebea mkononi?!!!

Na km hakufksha mlangoni je alikuwa anapeleka gari CAR WASH saa 7 usiku,mji wenyewe Dodoma?!!!!

MAPICHAPICHA
MAPICHAPICHA
MAPICHAPICHA

Bongo movies+Bollywood+Nollywood+Hollywood😂😂😂
 
Chadema ikimchukua membe itanufaika na Kugawa kura za CCM.
Membe ataipa Chadema kura na majimbo ya kusini .Ikumbukwe Membe anasikilizwa Linda na Mtwara Chadema haina nguvu sana huko.
Membe hana kesi ama tuhuma nyingi kama Lisu .Lisu .

Lisu ataogopwa kwa maana ya visasi.

Membe ana umri safi kuliko Lisu ametulia.
Tafadhali nenda ukawashauri TLP, UDP, NCCR au CUF.
 
Back
Top Bottom