Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Cyprian Musiba kaandaa watu wawili wenaoumwa corona akifika Tundu lisu watawekwa nao jela wamuambukize wasingizie kaja na corona toka ulaya zipo njama lukuki za kumkwamisha Tundu lisu, CCM kwa gharama zozote hawataki kumuona Tundu lisu jukwaani kipindi chote cha kampeni.
Waambie watamuona tu, na hiyo Corona waliyoiandaa itawarudia iwaue wenyewe.
 
Kama chizi basi muacheni apeperushe bendera ya upinzani mwaka huu.

Mnamuogopa TUNDU LISSU kuliko hata mnavyokiogopa kifo. Tulieni tu Huyu ndo msiyempenda na ndo amekuja sasa.
Huna adabu na nchi na watanzania weye😂😂

Kifamilia tu...weye uko radhi kumuozesha CHIZI Yule mdogo wako mrembo wa BAF pale IFM?!! namaanisha Rosemary......😂😂😂
 
Uchaguzi wa mwaka huu membe ni karata nzuri sana kwa sababu zifuatazo

1. Lengo la chadema ni kupata viti vya wabunge na sio kusshinda urais

2. Membe hana makando kando kama wengine

3. Membe ana influence zaidi kuliko wagombea wengine


4. Tindu lissu sio karata nzuri kwa sababu karata yake ya risasi inaweza kuback fire.


5. Membe ana base kubwa ya watu wa kusini.
Lumumba mnalo mwaka huu. Na kwa taarifa yenu ni kuwa msiyempenda TUNDU ANTIPAS LISSU ndo amekuja sasa.

Nani aliwaambia mumpige risasi??? Hamkufikiri kuwa lile tukio litakuja kumjenga kisiasa????

Ndo hivyo sasa msiyempenda kaja, na mlivyoharibu kwenye wafanyakazi, kilimo, biashara uchumi na haki za binadamu, nawahakikishia jiandaeni kumkabidhi nchi TUNDU ANTIPAS LISSU maana sioni wa kuzuia nguvu ya umma kwake.
 
LOoo, hii ni JF kweli katika ubora wake!

Sawa, sio April mosi, lakini inashangaza sana kwa mtu kama wewe kujikuta unaingizwa porini tena mtu kilaza kama huyo aliyekupeleka huko!

Makala yenyewe ilivyoandikwa, lugha mbovu, hata hiyo tu isingekushtua hata kabla ya kumwangalia aliyeleta taarifa?

Kule kusoma 'Heading' tu ya habari yenyewe inakupa taarifa kamili ya yaliyomo ndani ya mada.

Nilikuwa naipita tu hadi nilipoona watu kama wewe mnazidi kuishabikia mada mfu kama hii. Ikanilazimu niache maoni yangu.
Ni kweli, hakuna sababu kumaliza nguvu kujadili huu ujinga wa kutunga.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Chadema wamtumie kuwabeba huko kwenye mikutano yao lakini asiwe mgombea. Aongeze nguvu kwa Lissu Asante yake baadae
Chadema msifanye kama hatuoni vile!
 
Membe akiweza kuelezea haya vizuri nina hakika hata uchakachuaji wizi wa kura wakurugenziccm kutangaza washindi feki wataogopa, membe akijikita vizuri kuelezea mabaya ya CCM pasipo uoga nina imani ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania, moja adai trilion 1.5 ambayo ilipelekea CAG kutolewa kafara, adai bilion 12 alizotafuna Ndungai peke yake, adai kibali cha kujenga Chato Airport adai idhini ya ununuzi wa Ndege. Ufanyike uchunguzi wa miradi yote mikubwa iliyofanyika kipindi hiki cha mtukufu na Naibu Rais, adai pesa cash, faini za mahakamaccm, madini yote vilivyokamatwa mipakani Bandarini Airport na kwingineko kote, adai vyote vyenye ufisadi ili watanzania watambue kuwa CCM ni ile ile ukoo wa panya hakuna malaika CCM wote ni wale wale kama wa zamani ingawa hawa wa sasa wanauma na kupuliza kidogo.
 
Maendeleo ni lazima siyo Hisani za CCM siyo pesa binafsi inatoka mfukoni mwa CCM, maendeleo yanatokana na pesa za walipa kodi ambao wengi siyo wanachama wapenzi wa CCM, walipa kodi wengi ni watanzania wasio na vyama wala itikadi yeyote.
 
That is why his followers call him Mwamba, literally translated Rock!
He is a very clever man especially on monetary and prosperity issues.

Mwamba is very well aware that unless he as captain of the ship spins the gears again in the middle of the ocean, this time the ship is definately going to sink very deeply into the sea and will never be seen again. These are facts, sane or insane, everybody everywhere knows.

The air gear spinning strategy he employed in 2015 of substuting the very popular by then secretary general of his party for a very popular ex-prime minister from the ruling party was very successful. It enabled his party to have a bumper havest of over one third of the members of paliament in the house. It enabled his party to become the major opposition party in the country ripping billions of shillings as government subsdies. That strategy enabled him to get the very prestigious & highly paid post of KUB!

God is great. While the ship is in the process of captisizing, a high ranking spy with reputable international epsionage experience has volunteared to rescue this sinking ship. It is true that most of the voters do not know this man because during his political era he spent most of his time outside the country doing diplomatic epsionage activities. But he has the technical epsionage talents to rescue the sinking ship. How can Mwamba dismiss such an offer coming at the right time. Just as his followers were obedient to lockdown themselves when he so ordered during the covid19 epidemic, we expect them to be obedient when he receives this rescue offer from this man. We

They are going to sing, 'Mwamba tuvushe.........'

 
A
Membe akiweza kuelezea haya vizuri nina hakika hata uchakachuaji wizi wa kura wakurugenziccm kutangaza washindi feki wataogopa, membe akijikita vizuri kuelezea mabaya ya CCM pasipo uoga nina imani ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania, moja adai trilion 1.5 ambayo ilipelekea CAG kutolewa kafara, adai bilion 12 alizotafuna Ndungai peke yake, adai kibali cha kujenga Chato Airport adai idhini ya ununuzi wa Ndege. Ufanyike uchunguzi wa miradi yote mikubwa iliyofanyika kipindi hiki cha mtukufu na Naibu Rais, adai pesa cash, faini za mahakamaccm, madini yote vilivyokamatwa mipakani Bandarini Airport na kwingineko kote, adai vyote vyenye ufisadi ili watanzania watambue kuwa CCM ni ile ile ukoo wa panya hakuna malaika CCM wote ni wale wale kama wa zamani ingawa hawa wa sasa wanauma na kupuliza kidogo.
Acha kulialia....ww ni mmoja wa wale WATAKASA FEDHA wa zile Bureau de change?!!?
 
Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
 
Sasa umesikia hz BUMU za mikopo inayowasaidia watoto wa vyuo vikuu inatoka MAKULU AMA WHITE HOUSE CCM DODOMA?!!!acha kudhihaki pesa ya wavuja jasho wa nchi hii
Maendeleo ni lazima siyo Hisani za CCM siyo pesa binafsi inatoka mfukoni mwa CCM, maendeleo yanatokana na pesa za walipa kodi ambao wengi siyo wanachama wapenzi wa CCM, walipa kodi wengi ni watanzania wasio na vyama wala itikadi yeyote.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!
 
A

Acha kulialia....ww ni mmoja wa wale WATAKASA FEDHA wa zile Bureau de change?!!?
Duka moja la mchele likiiba mchele mnaenda kupora mchele kwenye maduka yote? na zile pesa ulichukua wewe inaelekea wewe ni mnufaika wa ile operation uliiba pesa nyingi sana hutaki warudishiwe kwa hofu ya kudaiwa
 
Kwanza huyo Lisu akirudi namuonea huruma. Atapambana na kesi kila siku mahakamani. Waungane wapinzani wampe Membe, hii jaribu jaribu huwezi jua mkeka unaweza kutiki sababu CCM kipindi hiki wanajiona wameteka nchi ila kiukweli wananchi wameichoka hawaipendi na wanamaisha magumu. Uchaguzi mdogo vijijini wananchi waliwapotezea wanakuja na magari wanakatika watu wawili tu hamna mwananchi hata mmoja kila MTU maisha yamemkaba analalamika. Haya madege, madaraja, wakianza kujisifu CCM wananchi wote wanajua hayawasaidii kitu. DJ na Zitto watulie waamue kumpa ugombea Membe. Wapinzani hadi mda huu wanaogopa kujikusanya hata uwanjani kujadili mambo yao kisa utawala huu. Wampe huyo mzee ajaribu. Kipindi hiki cha jiwe ni Membe tu ndio anaweza akabweka lasivyo wajiandae kupata viti vitatu vya ubunge.

Huyo Membe anaweza kubweka akiwa upinzani tu? Kimemmshinda nini kubweka akiwa ccm hadi amekatwa na watu watano tu, na hajafanya lolote?
 
Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
Nikumbushe hv nyongeza za MISHAHARA kipindi Cha mh.kikwete kilikuwa kinaRANGE kiasi gn vile?!!!

KUHUSU wastaafu waliokatwa malipo yao kwa AJILI ya KIINUA MGONGO kwa miaka ile 15 ya kisheria....kipindi hk Cha magufuli wanaingziwa kila mwezi....kila mwezi....tofaut na kpnd Cha mh.kikwete....huko kwenu HAKUNA wazee wastaafu wote ni wakulima TU?!!!!
 
A
Duka moja la mchele likiiba mchele mnaenda kupora mchele kwenye maduka yote? na zile pesa ulichukua wewe inaelekea wewe ni mnufaika wa ile operation uliiba pesa nyingi sana hutaki warudishiwe kwa hofu ya kudaiwa
Acha uzwazwa serikali haipori watu wake wee....serikali ya magufuli asiyetaka uonevu?!!!
Waliokwenda NI Askari polisi....magufuli anawaogopa Askari polisi asiwakosoe huyu baba mwenye HURUMA?!! Thubutuu

Hii SI serikali ya IDD AMIN DADA na Mobutu kuku ngbendu wa zabanga😂😂😂
 
Uchaguzi wa mwaka huu membe ni karata nzuri sana kwa sababu zifuatazo

1. Lengo la chadema ni kupata viti vya wabunge na sio kusshinda urais

2. Membe hana makando kando kama wengine

3. Membe ana influence zaidi kuliko wagombea wengine


4. Tindu lissu sio karata nzuri kwa sababu karata yake ya risasi inaweza kuback fire.


5. Membe ana base kubwa ya watu wa kusini.

Hizi sifa zote ulizomwagia Membe ni sawa, ila aende ACT au UDP, cdm hapana.
 
A

Acha uzwazwa serikali haipori watu wake wee....serikali ya magufuli asiyetaka uonevu?!!!
Waliokwenda NI Askari polisi....magufuli anawaogopa Askari polisi asiwakosoe huyu baba mwenye HURUMA?!! Thubutuu

Hii SI serikali ya IDD AMIN DADA na Mobutu kuku ngbendu wa zabanga😂😂😂
Wewe ndiyo zwazwa hizo kesi wanazobambikiwa wapinzani hufanywa kwa idd Amin dada?
 
Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!
Yaani nilijamba kwa kukudharau....uliposema tu "ndani ya CCM Kuna hitajio la kuking'oa madarakani"......

Kwa kukusoma TU najua we ni inexperience wa vingi....
Km una umri zaidi ya miaka 25 ntajua ndio nyinyi vijana "waliberali" wavaa skin jeans za RANGI ya njano na other crazy colors,kujichubua na VIDUKU kichwani.....

Km sivyo bx ww ni zwazwa ndwanye HOBOBO...
Yaaani kabisa mwanaCCM mwanachama,mwenye kadi yake,mfuatiliaji wa ya nchi....aliyeiva madarasa yetu ya ITIKADI...Leo atake CCM IONDOKE MADARAKANI...ama kioja....
 
Back
Top Bottom