Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Muhimu ni kujenga chama kwa kupata mgombea atakaeweza kushindana na jiwe na kumpunguzia kura, pia kuingiza wabunge wengi bungeni.
Lisu syo rahisi hivyo kurudi maana sidhani kama wauaji walotaka kumtoa roho wanatamani wamuone.
Pia upinzani definately unataka kuungana ni fursa nzuri kwa membe,
Kumbe ni kumpguzia kura siyo kushinda?
 
CDM benefitted and maximazing parliamentary seats due to what was called "ulipo tupo" kwa kufuatana na nguli km kina mzee Chizii na arbab sheikh Khamis Mgeja,itakuwa Hawa maustadh wachache wa kijijini Londo😂😂😂😂
 
Wale wazee walioambatana na mh.Membe ukiwaangalia na zile kadi zao "MPYA" unaona kabisa mchezo wa "kadenge"....
 
Mbowe anaamini Membe pekee ndio atanusuru chama kisimfie mikononi, lazima amfix mtu ili mipango yake iende sawa. Tishio kubwa ni Lissu, ila Lissu hana mizizi kama Dr Slaa hivyo kumfix ni rahisi zaidi.

Kama alifanikiwa kumleta Lowassa na watu wakamuunga mkono, sio kila siku ni Ijumaa. Safari hii anaona wazi wazi kuwa watu wengi hawako upande wake.
 
Halafu mh.Magufuli amekishika kweli chama kuliko wakati mwingine WOWOTE...si Mkapa Wala kikwete...wote waliyumbishwa na makundi ya Hawa kina Membe...
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Tanzania Perspective katika ubora wake. Haya magazeti ya hovyo kweli kweli
 
Vice chairmanship of Lisu was because people were not interested because that position in chadema is useless that is why professor Safari decided to resign and dump it!!! Because it is a redundant position!!

Tundu Lisu decided to take a useless and redundant position to boost his. Fake image!!! As a vice chadema of Tanzania mainland !!! To show you that that vice president position is hopeless and redundant do you know who is the Chadema vice president of Zanzibar? Do you even know his name? Because chadema has two vice presidents
We all know better that Prof Safari was voted in as a replacement for Zitto kabwe, to offset claims of "mfumo kristo" and so was Said Arfi.

However now that the party has been able to cement its position as a stable party with grassroots nationwide, Vice Chairman post is no longer a PR stunt its now meant for succession planning.

After a couple of Years eventually Lissu will rise to the highest office in the party. Given the candidates will be in for the primaries, the members will vote for the best candidate and by then you will be suprised with the overwhelming majority support Lissu will get.

Hierarchy despising a member does not imply mere party cadres won't vote you in. Otherwise Magufuli wouldn't be a CCM flag bearer in the last election.
 
Nikiwa hapa ufukweni Sadaan Tanga na shemeji yenu mikononi tuna vile vinywaji adhim "faru John" hatimiliki ya mheshimiwa mwenyekiti....tunatumia nafasi hii kumpongeza mh.Mwenyekiti wa chama magufuli kwa kuwanyoosha vyema kina Kaka yetu Makamba na komredi Nape...WANGEMSUMBUA SANAAA😂😂😂
 
Akiamua DJ nyie hamna la kufanya

Uko sahihi kabisa, Mbowe akiamua kutokana na nafasi yake ndani ya chama hakuna wa kubisha, ila support iko kwetu, safari hii ndio atajua wenye nguvu ni sisi wafuasi na sio yeye. Chaguo letu ni Lisu na sio muhuni yoyote. Huko ccm Magufuli akiamua ndio hakuna wa kupinga, sio cdm ambayo nguvu yake ni watu.
 
Ni kweli kabisa

Hiyo nafasi anastahili mpinzani mmoja tuu, naye si mwingine ni Shujaa Tundu Lissu, ili apambane na huyu Jiwe ambaye, utawala wake tumeshuhudia akitumia vyombo vya dola vibaya kwa kuuminya upinzani ili usifurukute

Ikiwa CDM watatuletea huyu kapi la ccm kama ilivyokuwa 2015 kumleta Eddo...basi yajayo yatakuwa na majuto sana
 
Simung'unyi maneno nasemaje ukimuacha baba wa taifa hajapatapo kuwepo mwenyekiti wa CCM mshika hatamu hasa...aliyetuliza caucaus na makundi fitini ya oligarchs km huyu wa Sasa....bila Magufuli CCM ilikuwa hohe hahe....
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Mkuu usitoe povu lako bure huyu aliyeleta hii habari ni lumumba buku 7,chadema haiwezi kuruduia kosa tenaa Membe akatafute pa kufia kisiasa tu.
 
Uko sahihi kabisa, Mbowe akiamua kutokana na nafasi yake ndani ya chama hakuna wa kubisha, ila support iko kwetu, safari hii ndio atajua wenye nguvu ni sisi wafuasi na sio yeye. Chaguo letu ni Lisu na sio muhuni yoyote. Huko ccm Magufuli akiamua ndio hakuna wa kupinga, sio cdm ambayo nguvu yake ni watu.
Mbowe Mjanjajanja TU km Zitto Kabwe...CDM wanakosea Sana kumwamini mtu wa madili km huyu...
 
Apart from a sympathiser vote and barren political noise, unlike Membe, Tundu Lissu does not have political magnetic mighty required to pierce, penetrate and divide CCM into political debris. You need a presidential candidate who is potentially able to undercut and send mourning undercurrent gigs into CCM.
A credible party would seriously consider its post 2020 elections going concern stand hinging on
  1. the number of votes bagged,
  2. the number of seats won,
  3. the number of councils won,
  4. the amount of guaranteed subventions bagged.
Lissu presidential candidature implies sacrifice to Chadema's post 2020 going concern variables.
it is all about science rather than ideological feelings
Membe couldn't even mount a challenge on January makamba, let alone a gaping margin between him and JPM. What convinces you he can be a force to reckon with this elections relative to Tundu Lissu's political might?

I believe with Lissu, the election campaigns will be explosive as the 2010 era. Membe is too dented and not a threat anymore and lacks a political base.

Membe is not popular in CCM neither opposition, I don't see where he can get his votes from. Let's be realistic here,to CCM; Lissu is more damaging than Membe.
 
Apart from a sympathiser vote and barren political noise, unlike Membe, Tundu Lissu does not have political magnetic mighty required to pierce, penetrate and divide CCM into political debris. You need a presidential candidate who is potentially able to undercut and send mourning undercurrent gigs into CCM.
A credible party would seriously consider its post 2020 elections going concern stand hinging on
  1. the number of votes bagged,
  2. the number of seats won,
  3. the number of councils won,
  4. the amount of guaranteed subventions bagged.
Lissu presidential candidature implies sacrifice to Chadema's post 2020 going concern variables.
it is all about science rather than ideological feelings

Why don't you call him, and ask him to join UDP, since UDP is an opposition party as well? Then he can implement what you are trying to address in here. Or your science works only in certain political parties?
 
Chadema party decision Makers doesn't want a poor candidate like Tundu Lisu for the presidential post!! Take it or leave it

Chadema was started by Rich people not poor people like Lisu

Lisu in chadema he is just a parasite ,consumer of Chadema money not producer or provider!! Ask how much he has contributed to Chadema financially and how much he has consumed!!!

Tundu Lisu is a liability to the party he has consumed more than what he has contributed !!!
Na wewe pumbavu hebu andika Kiswahili huko Kiingereza kimekukataa kama kilivyowafanya Magu ma Mdalichako! Ulishaona wapi plural inaendana na does not?
 
Uko sahihi kabisa, Mbowe akiamua kutokana na nafasi yake ndani ya chama hakuna wa kubisha, ila support iko kwetu, safari hii ndio atajua wenye nguvu ni sisi wafuasi na sio yeye. Chaguo letu ni Lisu na sio muhuni yoyote. Huko ccm Magufuli akiamua ndio hakuna wa kupinga, sio cdm ambayo nguvu yake ni watu.
Support mnaitoa wapi wakati hamna nguvu kwenye kamati kuu Wala ya uteuzi mkileta za kuleta Mbowe akiinua simu tu kuwa Kuna wahuni wanaleta fujo mikutano ya chama defender zinashuka na mabomu na virungu mkiondoka hamna ngeu mkatambike
Sababu yeye ndie anatambuliwa na msajili Kama mwenyekiti taifa
 
Back
Top Bottom