Wachaga kwa biashara haaa, yaani hapo Mbowe kashapiga hesabu zake ngapi ataweka mfukoni from Membe, 2015 ilileta tafrani baada ya Mbowe kuona bil kadhaa from EL, mchaga mate, udenda nje nje nusura chama kipasuke, ilaaaa fedha mwana haramu yakheee wote wakajirudi, na kuambiana huyu ni mwenzetu, wa kaskazini jamani, alafu kaja na kitu kidogo pokeeni, kikubwa Mwenyekiti siri yake.. Haa Mnyika akanuna baadae akacheka, Dr Slaa akakimbia mbioo, fedhaa isikie tu hadi Yesu alisalitiwa sembuse binadamu
Anyway, do ur business as usual, ni haki yenu, nisiwaingilie.[emoji28][emoji28]