Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Mpiga kura ndio Nani unachangia shilingi ngapi uendeshaji Chadema lofa wewe? Kaanzishe chako lakini kuleta za kuleta Chadema sahau.Nakupa ushauri wa bure usije umia kwa usilolijua ambalo kwako Ni usiku wa Giza

Ni hivi, utatapika hirizi safari hii. Kwa jinsi ulivyopanick nakuona tu kama mtu aliyemfumania mkewe na houseboy. Acha usiku wa giza, kipindi hiki itakuwa ni mchana wa jua, Ngiri jike ww.
 
Sawa Membe kwa Lisu kuna matatizo mengi nina wasiwasi akija. Watakavyo mpokea kuna kuruka dhamana,kumficha dereva,sijui nini na nini
 
sasa tujifunze kukubali!Membe ni maarufu na tishio kuliko hata Tundulissu!!Mimi kama mwananchi wa kawaida nitampa kura yangu!Nina imani hata JK atampa kura yake
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Mimi naamini CCM wamegundua njia ya kuwavuruga upinzani ni kuweka pandikizi lao, kama ilivyokuwa 2015 na Lowassa, mwaka huu ni Membe.

Sioni kama Membe amewahi kuwa na nguvu ya ushawishi kwa wapinzani, wala kuwahi kuishi ideology zao. Zaidi ya kutaka kugombea Uraisi, sioni motive yake kwaajili ya kuimarisha upinzani Tanzania.

So i bet, mda mfupi baada ya uchaguzi, atarudi kuunga juhudi tu, kwasababu atakuwa amemaliza kucheza hii sinema.
 
Nilisikia watu kadhaa nawafahamu wakasema Walijiandaa sana kumpa kura Lowasa ila baada ya kumuona akitembea na kuongea kwa tabu wakampa Magu.

Lisu aje aonekane akitembea hata hatua mia utagundua ni shida kumuuza na CCM wana roho mbaya watamkejeli kwa namna nyingi. Lisu atulie amsapoti Membe . Kusini wana misimamo sana wakiamua uchaguzi utakua mgumu kwa ccm.


Chadema wakimkosa Membe watabakia maeneo machache kaskazini na itakua rahisi kuwabana.Wanaweza wasipate wabumge 5

Uliwasikia watu kadhaa wakisema, Lowassa alikuwa mgonjwa. Lissu ni suala tofauti, yeye kapigwa risasi na watu wengi wanajua nini kiliendelea. Mimi nimewasikia watu kadhaa wakisema jiwe ni dictator, hivyo ccm wamchague mama Samia maana si dictator. Kwa hizi hoja zako si vibaya nikijua uko kidato cha ngapi.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Mkuu wewe siasa zitakuua,relax,chadema inawenyewe,wewe mwenyewe umekimbilia huko baada ya kutumbuliwa na JPM, sasa mbona wamuonea gele mh.membe?

Membe ndiye mgombea wetu sisi wanachadema,kama hutaki hama chama

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hawaniumizi kichwa hao wakurupukaji, story zote kumhusu Membe kwenda Chadema naona zinaanzishwa na wapiga debe wa lumumba, waache wajidanganye tu.
 
Pole Mkuu... Hakika hili limekuuma kwelikweli.
Kumbuka Lissu harudi lakini.
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
 
MATAGA naona mnajitungia tungia tu vijistori vyenu. Hicho kigazeti chenu cha "Tanzania Perspective" habari zake tunazo. Ni kijarida cha hovyo tuu.

Chadema tunajua mwaka 2015 tulikosea wapi ingawa faida ilikuwa upande wetu. Hivyo puuzeni uzushi wote unaotolewa na MATAGA.

Membe yupo Rondo huko, Mbowe yupo Dar. Membe hajapewa kadi ya Chadema na mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba kuchaguliwa unaendelea. Nyie endeleeni kuota ndoto za mchana.
waambie!
 
Sawa Membe kwa Lisu kuna matatizo mengi nina wasiwasi akija. Watakavyo mpokea kuna kuruka dhamana,kumficha dereva,sijui nini na nini

Kwa taarifa yako hata Lissu akiwa jela tutampigia kura na sio Membe. Tunahitaji mpinzani na sio muhuni yoyote toka ccm. Ya Lowassa yalitutosha.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Mie ni mmojawapo ntakayejiondoa CDM
 
Na


Nauona mpasuko...wa DHAHIRI shahiri....Membe akikubaliwa tu CDM....
Mh.Lowassa alibadili upepo kwa "kuwalambisha watu MPUNGA"

Yaani mh.Membe akubaliwe tu kiyaheyahe....kwa ASSET ipi anayokuja nayo CDM?!??

Mhhh nahisi harufu ya ANKARA ANKARA ANKARA ANKARA....
"ya jasiri haachi asili..."

Hakuna mpasuko wowote, hatumuhitaji Membe fullstop.
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Mhh!!?? Hichi kiluga ni cha msomi tena ni muajiriwa
 
Uliwasikia watu kadhaa wakisema, Lowassa alikuwa mgonjwa. Lissu ni suala tofauti, yeye kapigwa risasi na watu wengi wanajua nini kiliendelea. Mimi nimewasikia watu kadhaa wakisema jiwe ni dictator, hivyo ccm wamchague mama Samia maana si dictator. Kwa hizi hoja zako si vibaya nikijua uko kidato cha ngapi.
Master of Political Science chief , anyway singependa kuzungumzia sana elimu huenda una elimu kubwa lakini si ya siasa.

Nikujuze tu kuwa unatazama mambo kwa elimu yako kubwa nikukumbushe kuyatazama mambo kwa angle ya aliyeishia la pili. Katika siasa tuna people na population. People ndio nyie wasomi wachache .Population ni igmorant majority. Ukiwa kwenye uchaguzi zingatia sana hawa ppn. Ndio maana Membe katika kurudisha kadiri alienda na ppn sio people. Unaweza kuwa na elimu kunizidi km una PhD lakini huna elimu na uzoefu wa siasa wa kutosha
 
Back
Top Bottom