Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Mbowe na Zitto jumu moja....wajanjajanja wa mjini wenye macho makali ktka🍽️🍽️🍽️ alipoibadilisha ile gia angani nikajua si bure...KALAMBISHWA MTONYO MREFU HUYU.CDM kitakufa mikononi mwa DJ mstaafu...
 

You are absolutely right.
 
Na wewe pumbavu hebu andika Kiswahili huko Kiingereza kimekukataa kama kilivyowafanya Magu ma Mdalichako! Ulishaona wapi plural inaendana na does not?
Utajijua Cha msingi nimeeleweka wewe kaa na tenses zako
 
Katika yote aliyobugi mh.comrade Lowassa ni kujiunga CDM...ona SASA ALIVYOPOTEZA MENGI....kubwa ni kutafuniwa MTONYO wake na "mwenye hatimiliki ya brand yetu pendwa faaaruuuu John"🍾🍾🍾🍷🍷🍸🍸🥃🥃
 
Acha chuki na kabila. Au CCM imekua ya wasuku
 
Ni kweli kabisa

Hiyo nafasi anastahili mpinzani mmoja tuu, naye si mwingine ni Shujaa Tundu Lissu, ili apambane na huyu Jiwe ambaye, utawala wake tumeshuhudia akitumia vyombo vya dola vibaya kwa kuuminya upinzani ili usifurukute
Acha tu vyombo vya dola hata kupiga fotokopi fomu ya kuomba kugombea uraisi lilizuia li jiwe hili halina aki....
 

Wala sizungumzii kupinga maamuzi yake ndani ya chama, hayo anaweza kuyafanya hata nusu saa kutoka sasa. Nazungumzia support yake ni sisi wapiga kura. Kama sisi hatukubaliani na maamuzi yake hana atakalofanya. Angekua ccm wangalau angeweza kutambia mbeleko ya vyombo vya dola. Lakini ukiwa upinzani, nguvu yako halisi ni wafuasi tu.
 
Mkuu FAKE NEWS. Mbowe hawezi kurudia makosa makubwa ya 2015.

 
Wananchi tunamtaka membe. Membe for president 2020 via chadema!
Hapa chadema wamelamba dume...kazi kwao
 
Mkuu usitoe povu lako bure huyu aliyeleta hii habari ni lumumba buku 7,chadema haiwezi kuruduia kosa tenaa Membe akatafute pa kufia kisiasa tu.
Nikisemaga vijana wa CDM wengi ni watumiaji HALOPERIDOL pale dirishani no.14 ward ya Acute Mirembe mnacheekaa,angalia KIINGEREZA hicho...kimesimama mno...yaani mwandika yai Hilo awe anaishi kwa kupewa BUKU 7?!!!
Malkia Elizabeth atakuwa ni mke wa chifu kimweri😋😂😂😂
 
Urais sio nafasi ya watu wasio walemavu, bali urais ni kazi ya mtu mwenye akili timamu. Hapo nilipoona tu umesema eti hawezi kutembea vizuri, ndio nimejua ww ni mpuuzi fulani, ndio maana unamtetea Membe huyo mzee muhuni toka ccm.
Unapofanya siasa hutazami unajua nini au nini kilipaswa kuwa bali unatazama uhalisia kwa mda huo.Kwenye siasa wajinga 100 ni muhimu kuliko maprofesa 20
 

Unaongea utoto gani we dogo?
 
Unapofanya siasa hutazami unajua nini au nini kilipaswa kuwa bali unatazama uhalisia kwa mda huo.Kwenye siasa wajinga 100 ni muhimu kuliko maprofesa 20

Kwahiyo uhalisia wa sasa, ni kuwa wananchi watamnyima kura Lissu kwasababu amepatiwa ulemavu na watawala!?
 
CDM benefitted and maximazing parliamentary seats due to what was called "ulipo tupo" kwa kufuatana na nguli km kina mzee Chizii na arbab sheikh Khamis Mgeja,itakuwa Hawa maustadh wachache wa kijijini Londo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM wamejaa humu kumkataa Membe. Membe is a phenomenon. Lisu kila dakika yupo hewani. Anatabirika.Membe anajua kutoka na kuingia
 

Nilifikiri upo jikoni.. kumbe wewe wa humu tu.. oyooooo
 
Vinaja wa uvccm mnajitungia habari bila kukumbuka kuwa dirisha la watia nia wa nafasi ya uraisi kwa tiketi ya chadema limeshafungwa.
 
Mpiga kura ndio Nani unachangia shilingi ngapi uendeshaji Chadema lofa wewe? Kaanzishe chako lakini kuleta za kuleta Chadema sahau.Nakupa ushauri wa bure usije umia kwa usilolijua ambalo kwako Ni usiku wa Giza
 
Halafu huyu Lissu Wala sio tishio kwa CCM na wanachama wake....
Lissu hafanani na Slaa....

Hana kaliba ya Dr Slaa japo ana kipaji Cha kujenga hoja za "kisheria"....

KISIASA hawezi kuteka HISIA za watanzania wa Hali ya chini km magufuli.....
Ninamuona Lissu jinsi atakavyokuwa anatumia PROFESSIONAL JARGONS majukwaani....huku AKITAKA PSYCHOLOGICAL SYMPATHY....

Ninamuona Magufuli akiziteka hisia za WANYONGE,walalahoi,hohehahe wa nchi hii kwa kutumia LUGHA NYEPESI NA DIRECT isiyotaka tochi kuipembua....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…