Uchaguzi 2020 Bernard Kamilius Membe: Nitagombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo

Hizo mbwembwe tu za membe ila atambue kwamba Boss wa Dady isbcoming na phd ya maganda ya korosho.
Hajawahi kuwa fisadi
Hajawahi kuwaonea aibu mafisadi
Hajawahi kuwaogopa mafisafi
Hajawahi kuwaonea huruma mafisadi.
Hajawahi kuzurura nje ya nchi
Hajawahi kutoa ahadi sema ile ya Million 50 kila kijiji, mdomo wake uliteleza.
Hajawahi kulazimisha uongoz i.e ubunge kwa maana wapinzani wake walikuwa wanapotea in a thin air kabla hata ya uchaguzi.
Hajawahi kuruhusu wakosoaji wampotezee muda
Hajawahi kuruhusu akili ndogo impe ushauri
Hajawahi kufanya jambo la kufurahisha mahisimu wake kisiasa
Hajawahi kuacha kufanya kampeni za wazwaz
Hajawahi kuacha kugawa pesa mamilion kama peremende
 
Membe kila alicho nacho kwny maisha yake kuanzia kazi yake'ukipepeo',mali zake,kazi nzuri za watoto wake/ndg zake vyote amevipatia CCM na hawezi kwenda kinyume nao hata dakika 1 maana anaelewa 'consequences' zake.

Na Membe ataleta zile Kampeni za kina za kikondoo za kina Lowassa kuogopa kupiga mawe huko alikotoka na tutaishia tu kusema jamaa ana kampeni za kistaarabu.

Mkuu hivi kipindi Zitto anaanzisha ACT akawa anapokea pesa kutoka kwa kina Zoka mpk na a/c Zao na amount zikawa hadharani hukuwahi kufahamau?

Unajua Zoka&Membe hao ni wa kutoka 'ofisi' 1?
 
Hayo ndio yanakupumbaza?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dah.. Kweli upinzani una kazi
 
Nihvi sisi mgombea wetu ni lisu tu, huyu jamaa asitake kujikomba komba chadema
 
Mkuu kuungana Ni sawa na inadumisha nguvu Ila tatizo nikuungana na kuwapa watu ambao siyo sahihi kupeperusha bendera ya muungano.
Nikweli kabisa, nahapa ndipo linakuja hitaji lake lakusema ni muda mwafaka wakuzungumza .

Hapa kila upande uwe tayar kuunga juhudi.


LENGO LETU NI MOJAX CCM ITOKE MADARAKANI.

Binafsi hata CCM wafanye nn, natamani sana siku moja WATOKE MADARAKANI.



watanzania wajue, CCM ni adui mkubwa wa maisha yao.
 
Wapinzani ni lazima Tuungane
Waungane vipi wakati baadhi yao wanatembeza bakuli CCM,na wengine wapo upinzani kuvidhofisha?

Upinzani kuishinda CCM inahitajika kwanza CCM wao kwa wao wasambaratishane kikweli kweli.
Siku ukisikia kila mmoja ana amri yake ndio CCM kwishnei.
 
Hiv bila kuitaja chadema angepungukiwa nn?
Mbona bado wana washwa washwa sana na cdm?
Yan ujumbe wake anaona usingekamilika bila kuitaja chadema au ndio alichotumiwa toka huko lumumba?
 
Hayo ndio yanakupumbaza?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dah.. Kweli upinzani una kazi
Nia ye Membe iko wazi , kwa bahat mbaya ukakasi anaoupata ni kukubalika sababu hamna aujuaye moyo.


Ila ukweli nikua, Membe ni hazina kubwa kwa Upinzani.

Hivi kama CCM lengo ni kuua upinzani ,wangehangaika na haya wanayoendelea nayo et mpaka wamtumie Membe??.


E.Lowassa?? Lowassa alirudi CCM kwa sababu ya Serikali kumuwinda ktk shuguli zake za kiuchumi, kuwindwa kwa waty wake wa karibu.

Nin angefanya??????? ...... kama lengo ilikua nikuua upinzani.. ..haya Lowassa alileta wabunge wangapi??? Kwann asingejitoa kwa kinyang'anyiro siku chache kabla ya uchaguzi???.
Mzee E.Lowassa aliamua kukubali yaishe sababu kwake aliguswa panapouma.



Upinzani usipoungana et kisa Membe... ni kosa kubwa watakalokua wamefanya .

Zanzibar Chadema haipo.. Seif yuko ACT... na wazinzibar siasa zao ni MVUTO WA MTU SIO CHAMA.

Chadema inanguvu Huku Bara.... aya , wasipoungana wanataka nn?????


Mchezo ulikua Lissu wa chadem, Seif wa ACT..

Sasa Kuja kwa Membe kusifanye upinzani utoke nje ya Reli... Nafasi bado ni kubwaa ya kukaaa, Hata Membe mwenyewe anajua .
 
Jana niliombwa na leo nimekubali rasmi kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo. Huu ni wakati muafaka kwangu wa kushiriki katika mazungumzo na vyama vingine kama Chadema ili tusimamishe "KISIKI CHA MPINGO" kimoja!

@BenMembe

CHADEMA Watani zangu bado ' nawakubali ' sana tu na naona ' mkijipanga ' vyema mnaweza ' Kumng'oa ' JPM na CCM yake ila msiungane nao.
 
Sawa

Tuko makini sisi chadema sidhani ushauri wa L7 una maana sana.
 
Kuungana kwa ajili ya membe hapana........2021 membe anaomba msamaha anarudi ccm wapinzani wanedelea kujipanga
 
Dahh, nina mengi ya kuongea kuhusu usanii huu ila bora niache, kwanini hii mijitu ikifika uchaguzi inakua inahamia upinzani thn lazima kutatokea chama cha upinzani kitakubali kirahisi tu bila ya kufikiria, kwanini siku za uchaguzi tu???????????????!
 
Kama mitandaoni tu Membe hana ushawishi, huko mtaani ataupata kwa nani? Zitto na Mbowe ni watu hatari sana, huenda jamaa nae kachukua mzigo kama Mbowe alivyofanya kwa mzee Lowassa. Hizi tricks katika siasa zinatajirisha sana watu.
 
Rais lazima awe anajua Uchumi!! Membe atosha! Tumeona Uchumi ulivyopiga mweleka kwasababu ya Lubuva kutuwekea MKEMIA.
 
Hahaha mimi sitapiga kura nitakuwa muangalizi wa ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…