Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ulivyoficha ya kwako.Upo nyuma yake huku una ID fake ? Acha unafiki
Behind All Fake IDs there's a real Man.Upo nyuma yake huku una ID fake ? Acha unafiki
Na mkimtema tu!
Hakiwezi kuahirishwa mbona hakuna cha ajabu kitakachoongelewa hapo mnafikiri kuna jipya?Inamaana kuna uwezakano wa dharura kutokea na kikao kuarishwa na kikiairishwa kimeairishwaaaa
Hawatafanywa chochote
Kamati ndogo ya maadili.
Kwa namna nyingine hiyo kamati imewadharau sana hao manguli chamani mi nilidhani kamati kubwa kama mwenyekiti mwenyewe
Kwani Mbowe si yupo? And he is eagerly watching!Ndio hofu yao kubwa... So plan ni kumfungia kushiriki siasa kwa miezi kadhaa 6 au 8 ili mchakato uwe clear kwa mtu moja!..
Kolimba aliitwa akakolimbwa. Yasitokee hayo.
Itabidi muhame naye akija kwetu kugombea.Sisi wanaccm kwenye akili nzuri na wazalendo halisi tuko na membe