Kibororoni
Member
- Dec 19, 2019
- 77
- 154
LIssu hatakiwi tena? Kweli mfa maji hudandia hata mkia wa nyoka!
Unaelewa maana ya Kamati? Kamati sio mtu mmoja na maamuzi ya mtu mmojaMangula usicheze na msiba shauri yako, utarudi kijijini kuuza nyanya, wewe toa ubatizo wa moto uendelee kubaki mjini
Jamaa ni OVERRATED tu ila sio threatMembe chukua tahadhari zote!!hata sokoine na kolimba walijiamini!!!mwambie na kigogo atupe updates za matukio ya safari yako wasije kukumaliza!!!CCM sio mchezo!!!
Jasusi mbobezi yule, haitakuwa rahisi kumkolimba.Muhimu awe mwangalifu wasije wakamkolimba