Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

Ni upum

Ni upumbavu tu wa mtu mzima, barua kaandikiwa yeye, alafu yeye aanze kutangaza kwa umma kwani anaogopa nini kama anajiamini, mambo yake nayo yametuchosha, amalizane nao kisha kama anona kuna musada anataka kwa jamii ndo aandike, mbona anapotaka kufanya mambo yake ya kila siku haweki mtandaoni? CCM aliingia mwenyewe na kuicha au kuivulimia ni wazo lake mwenyewe. Angetaka tujue angesema nimeitwa lakini sitaenda wachukue uamuzi wowote, ingekuwa na maana, atuache tupumue, bado tuna misiba mingi Arusha na JKT, tuna mawazo ya wapendwa wetu.
Acha upuuzi wwee tuna uzoefu kuwa nyie ni wauaji na majambazi mabaya hasa. Historia inawahukumu kuwa kina kolimba mliwaua kwenye vikao kama hivi. Lazima atuambie tukae tayari kwa mliyopanga nyie mashetani wakubwa
 
Ccm wanajimwambafy tu. Humo ndani watamwomba msamaha, watawmomba awaunge mkono. Alafu wataKuja public kujimwambafy eti kawomba wamsamehe
 
Membe chukua tahadhari zote!!hata sokoine na kolimba walijiamini!!!mwambie na kigogo atupe updates za matukio ya safari yako wasije kukumaliza!!!CCM sio mchezo!!!
 
Influenza,
Kolimba naye alipoitwa kwenye kikao cha aAina hiyo kule alikuwa na guts...zamani hakukuwa na mitandao lakini magazeti machache ya binafsi yalikuwepo na ilionekana kana kwamba comrade kolimba angeibuka shujaa,.lakini kinyume chake maswali aliyopigwa na kuonyeshwa data was overwhelming to him...the rest is history..
 
Kwa jinsi unavyojiamini,ni wazi una hoja nzito za kujitetea, sema tu hawatasikiliza wala kuzingatia hoja zako bali wataingia kwenye kikao wakiwa tayari na maamuzi yao mifukoni.

Kwa mtazamo wangu,kikao hiki ni cha ushahidi tu ili ionekane umepewa haki ya kusikilizwa.
Mkuu kwa jinsi ccm wanavyo jua kuwapotezea wapinzani hoja za nguvu na kuwapeleka kujadili upumbavu ni hapa


Walikuwa wapi kabla ya haya yanayotokea

Kwa mfano

Mkopo kuzuiliwa

Makonda kuzuiliwa


Hapa wanaelekea kucheza karata mhimu ya kuwapoteza watu na mambo ya msingi
 
Kwa jinsi unavyojiamini,ni wazi una hoja nzito za kujitetea, sema tu hawatasikiliza wala kuzingatia hoja zako bali wataingia kwenye kikao wakiwa tayari na maamuzi yao mifukoni.

Kwa mtazamo wangu,kikao hiki ni cha ushahidi tu ili ionekane umepewa haki ya kusikilizwa.
Nakuhakikishia kwamba kuna baadhi ya wajumbe wa hicho kikao ambao wametumwa kumhoji Membe hawajui na wala hawakujua 80% ya atakayoongea na watapigwa na butwaa , unyama unaotendwa ndani ya ccm wanaoufahamu ni watu 50 tu , Membe ni mmojawapo
 
Ni upum

Ni upumbavu tu wa mtu mzima, barua kaandikiwa yeye, alafu yeye aanze kutangaza kwa umma kwani anaogopa nini kama anajiamini, mambo yake nayo yametuchosha, amalizane nao kisha kama anona kuna musada anataka kwa jamii ndo aandike, mbona anapotaka kufanya mambo yake ya kila siku haweki mtandaoni? CCM aliingia mwenyewe na kuicha au kuivulimia ni wazo lake mwenyewe. Angetaka tujue angesema nimeitwa lakini sitaenda wachukue uamuzi wowote, ingekuwa na maana, atuache tupumue, bado tuna misiba mingi Arusha na JKT, tuna mawazo ya wapendwa wetu.
Mbona umekasirika Mkuu shida nini hata akiandika.
 
Nakuhakikishia kwamba kuna baadhi ya wajumbe wa hicho kikao ambao wametumwa kumhoji Membe hawajui na wala hawakujua 80% ya atakayoongea na watapigwa na butwaa , unyama unaotendwa ndani ya ccm wanaoufahamu ni watu 50 tu , Membe ni mmojawapo
Waacha akamwage ugali baada ya wao kumwaga mboga.
 
Back
Top Bottom