Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
Marekani ushahidi anao ndio kwanza kataja jina la mtu mmoja tuu na bado majina ya watu 200 akiwemo na yule aliye mcharaza mwenzake bakoraIle ni ccm,! Chadema mkiitana kama hivyo mtaishia kugawana fito wakati wenzenu watatoka wanacheka na kuishia kuwapa kipigo ikifika novemba mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app