Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

Acha wakaingizwe kwenye Kanyampasila aka
moto wa Tume, hapo hakuna cha Membe wala cha Kinana. Mtawasikia tu watavyolalamika.
 
Kiheshima ilibidi waitane kimyakimya wapige stori kishikaji. ila kwasababu uongozi huu ulisha kosa maadili kwahiyo wameamua kumiata kibabe.

Sent from my GM1910 using Tapatalk
 
Ni kama mahakama flani si ndio.....!!!
so tu expect hukumu....
yetu macho
 
Chadema ndio walio fanya yafuatayo Kumpoteza Azroy, Ben saanane, Mwangosi, kumpiga risasi Lisu , kumuua Alphonce mawazo Chemu.


IF GOD IS ALIVE
NYOOSHA MKONO WAKO JUU YA WAUAJI WENYE DOLA INATOSHA SASA KWA YALIYOFANYWA NA WATAWA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Chadema ndio waliofanya huo udhalimu.Mbona walipolishauri Bunge Na Serikali kuleta Wachunguzi wa kimataifa Scotland Yard,Serikali Na Bunge walikataa? Argue logically stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye Wazee na makada wenzangu wakongwe chamani Makamba, Kinana na Membe wameitwa kujitokeza mbele ya Kamati Ndogo ya Maadili ya chama hapa Dodoma. Kamati hii inaongozwa na Mzee Phillip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara.

Nimeshawasili hapa Dodoma tayari kuwapa 'support' wazee wenzangu na waliowahi kuwa viongozi wangu chamani na Serikalini. Wakifika, tutakutana hapa Dodoma na kujipanga ipasavyo kabla ya wao kujitokeza mbele ya Kamati ya Mangula. Tutajipanga kihoja, kiintelijensia na kadhalika.

Wakifika, tutapata fursa ya kisasa kutafakari mwenendo wa CCM yetu na kujiandaa kushauri kupitia wao mbele ya Kamati watakapojitokeza. Pamoja na kupokea barua za wito, hakuna ambaye hadi sasa anayajua mashtaka yanayomkabili mbele ya Kamati. Watashtukizwa!

Kwa namna mambo yalivyo, iko wazi kuwa, CCM haina jambo lolote la kuwafanya Makamba, Kinana na Membe. Hakuna hata mashtaka mahsusi kuwahusu na wao kujiandaa kwa utetezi wao hadisasa. CCM inafanya siasa tu. Inauaminisha umma kuwa ipo na inafanya kazi. Si zaidi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
 
Back
Top Bottom