johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Jina lake litabaki kwenye ballot paper na uchaguzi utaendelea!Mh. Rais Magufuli baada ya kupitishwa na NEC, akiamua kujiondoa kuwa mgombea, CCM watamfanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM watamfanya nini?Jina lake litabaki kwenye ballot paper na uchaguzi utaendelea!
Lissu ana mtaji wa 50% ya kura kabla kampeni hazijaanza. Hicho ndiyo kigezoSwali: Lisu ni bora kuliko Membe?
Kwa vigezo gani?
Ukipima kwa hivyo 98% visiwani Membe anayo achilia huku. Halafu tusipime kura kwa umati walikusanyika kumsikiliza.Lissu ana mtaji wa 50% ya kura kabla kampeni hazijaanza. Hicho ndiyo kigezo
Kwani Magufuli alikuwa bora kuliko wagombea wengine walioomba kuteuliwa na ccm mwaka 2015?Swali: Lisu ni bora kuliko Membe?
Kwa vigezo gani?
Hawatamfanya kitu but atapata aibu ambayo hataisahau mpaka kufa kwake maana hatafikisha hats kura 50000..Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT wazalendo Bernad Membe atakataa kumwachia Tundu Lisu nafasi ya kugombea urais kwa niaba ya upinzani ACT watamchukulia hatua gani?
Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?
Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla, Tindo
Mrema na Membe ni maofisa wa usalama wa Taifa, muwe mnatumia akili kuwaamini watu.Ukipima kwa hivyo 98% visiwani Membe anayo achilia huku. Halafu tusipime kura kwa umati walikusanyika kumsikiliza.
Hata watu wa ACT, TLP wanaenda mi huwa naenda na sijawahi kupiga kura tangu 1995 aliposhindwa Mrema
Sisi wazalendo tunataka Lisu ampishe Membe, Kachero aitoe sisiem , ana busara ya kuongoza.
Alionyesha msimamo kwenye issue ya ziwa nyasa vividily.
Lisu akigoma kumuachia Membe tumfaanyaje
Kama anajali uhai na afya yake ni kheri afanye hivyo. Si yule Magufuli wa kuzunguka Wilaya nne kwa siku, akiomba kura.Mh. Rais Magufuli baada ya kupitishwa na NEC, akiamua kujiondoa kuwa mgombea, CCM watamfanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pepo mchafu tokaSisi wazalendo tunataka Lisu ampishe Membe, Kachero aitoe sisiem , ana busara ya kuongoza.
Alionyesha msimamo kwenye issue ya ziwa nyasa vividily.
Lisu akigoma kumuachia Membe tumfaanyaje
Hilo siyo swali la msingi ila kilicho obvious ni kuwa Tundu Lissu ni bora kuliko Magufuli!
Kwa nini?
Kwa sababu Magufuli haheshimu katiba wala sheria pale zinapokwenda kinyume na matakwa yake binafsi. Sasa mtu wa hivyo hawezi kuwa raisi bora
Sasa huo Mdahalo Lissu ataongea nini? labda uwe wa kumjadili Magufuli.Natamani kwanza wangeweka mdaalo Wa wazi Kati yao wawili na mshindi ndiyo apitishwe..
Kama una mibange kichwani nenda kalale
Haya yote yamefanywa katika serikali za CCM, na hii self praise ya Magufuli inamaana akiondoka tutarudi kwenye square one. Tunaomba upinzani uingie tuangalia upande wa pili wa maisha.Acha kutoa (lame excuses), sababu za uongo. Rais karudisha ndege 11 ambazo awamu zilizopita walizinywa, Train kutoka Dsm - Arusha, Dsm- Mpanda, meli ziwa Victoria, Nyasa, Tanganyika, Tanzanite imerudi Tanzania, nidhamu kazini, Madini tu naona faida yake na mengine mengi na usisahau COVID19 kaifukuzia nje ya mipaka ya Tz.!!!
We mtu ni hataree nimeanza kukuelewa sasa!!Lisu anaheshimu sheria au ni kwamba anazijua tu sheria?!