Uchaguzi 2020 Bernard Membe akikataa kumpisha Tundu Lissu kuwa mgombea pekee wa upinzani, ACT Wazalendo watamfanya nini?

Uchaguzi 2020 Bernard Membe akikataa kumpisha Tundu Lissu kuwa mgombea pekee wa upinzani, ACT Wazalendo watamfanya nini?

Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?

Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?

Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?

Ni hayo kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama

cc: Pascal Mayalla, Tindo
Hueleweki. Membe anampishaje Lissu wakati wako vyama tofauti? Mbona husemi Spunda Rungwe ampishe Lissu?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?

Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?

Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?

Ni hayo kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama

cc: Pascal Mayalla, Tindo
MJAIDLI KWANZA JIWE MWISHO WAKE NI MWAKA HUU KUKAA IKULU
 
Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?

Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?

Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?

Ni hayo kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama

cc: Pascal Mayalla, Tindo

Bado hujamaliza kuandaa ule uzi mwingine "kama jiwe akiamua miaka 5 inatosha ili sasa kwa nia njema amwachie nchi Lissu?

Bado tunasubiri mkuu.

Fanya fanya hima vinginevyo tutalazimika sisi kukusaidia kuupandisha jukwaani.
 
Membe ni mtu mstaarabu sana, ana hekima sana, na nimuelewa sana

Kwake urais siyo kitu personal bali anaangali mustakbali wa Taifa.

Amesema kama ikibidi kumuunga nkono yeyote aliyebora kuliko Magufuli, yuko tayari kufanya hivyo kwa hiyari yake!

Msikilize hapa anavyosema!

View attachment 1539614
Mkuu uko sahihi, ila kimoja ambacho watu hawajamuelewa mtoa mada ni kuwa mada yake sio ya nia nzuri Bali ya uchonganishi tuu.
 
Sheria haikatazi mtu kujitoa katika hatua yoyote kwakuwa kugombea ni hayari ya mtu. Kukataa kujitoa ni ngumu sababu chama ni kikubwa kuliko mgombea kinaweza kumuondolea udhamini akapoteza sifa ya kuwa mgombea baada ya chama kujiondoa udhamini
Hilo sio kwa sasa,tume itamuacha na atapewa hela za kampeni.

Muulize Mwambe na lijuakali waliendelea kuwaje wabunge.
 
Membe ni mtu mstaarabu sana, ana hekima sana, na nimuelewa sana

Kwake urais siyo kitu personal bali anaangali mustakbali wa Taifa.

Amesema kama ikibidi kumuunga nkono yeyote aliyebora kuliko Magufuli, yuko tayari kufanya hivyo kwa hiyari yake!

Msikilize hapa anavyosema!

View attachment 1539614
This person is very unique, antoa mfano bora sana kwa harakati za uchaguzi kwa mwaka huu. Yeye anaangalia nchi, haya mambo mengine kwake ni by the way
 
Ukipima kwa hivyo 98% visiwani Membe anayo achilia huku. Halafu tusipime kura kwa umati walikusanyika kumsikiliza.

Hata watu wa ACT, TLP wanaenda mi huwa naenda na sijawahi kupiga kura tangu 1995 aliposhindwa Mrema
Hajitambui, hujui nguvu ya kura moja. Halafu unaongea kwa mbwembwe eti hujapiga kura toka 1995 na unadhani ni sifa. Wewe ni mburula tu
 
Sisi wazalendo tunataka Lisu ampishe Membe, Kachero aitoe sisiem , ana busara ya kuongoza.

Alionyesha msimamo kwenye issue ya ziwa nyasa vividily.

Lisu akigoma kumuachia Membe tumfaanyaje

Hapana tunataka safari hii CCM ipate mshindani wa kweli kutoka upinzani na siyo CCM kwa CCM....
 
Kwanza hilo haliwezekani sababu tayari Zanzibar CHADEMA watampisha Seif sasa haiwezekani kupisha nafasi zote mbili huo utakuwa siyo ushirikiano istoshe chadema bara inakubalika zaidi kuliko ACT kwahiyo tayari inazo kura za wanachama wake za kuanzia kama Arusha Kilimanjaro Mbeya na Iringa
Hizo takwimu umezitoa wapi?
 
Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?

Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?

Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?

Ni hayo kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama

cc: Pascal Mayalla, Tindo
TAFAKURI JADIDI TOKA KWA MTU MAKINI...
 
Membe ujue kakaa kisanii sanii sana. Alaf uwezi sajiliwa katikati ya msimu kisha ukataka upewe ukepteni.

Maalim Seif aliteleza kwa kujiunga na Act-Wazalendo chama kilichopinga na kukataa kwa nguvu zao zote kujiunga na UKAWA 2015 badala ya kujiunga na CHADEMA!

Sasa ACT imechagua Eddie wa pili kupepea bendera - Maalim kashindwa kujifunza kutokana na makosa ya 2015 yaani Maalim karudia makosa ya 2015 kwa kumchukua ambaye baada ya 28/10/2020 atarudi kundini kama Eddie!

Ni afadhali angalia pendekeza Mhe Shaibu, mfia chama(a die hard cohort of then Cuf now ACT-Wazalendo) kupepea bendera ya chama( truth is bitter but I have mentioned the truth)!
 
Membe ni mtu mstaarabu sana, ana hekima sana, na nimuelewa sana

Kwake urais siyo kitu personal bali anaangali mustakbali wa Taifa.

Amesema kama ikibidi kumuunga nkono yeyote aliyebora kuliko Magufuli, yuko tayari kufanya hivyo kwa hiyari yake!

Msikilize hapa anavyosema!

View attachment 1539614


Huyu jamaa alijiunga na ACT ili kusudi awe mgombea wa URAIS kwa vile CCM ilimzima; ndoto yake ilikuwa ni kuwa Rais.
 
Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?

Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?

Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?

Ni hayo kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama

cc: Pascal Mayalla, Tindo
🖕🖕🖕🖕
 
Maalim Seif aliteleza kwa kujiunga na Act-Wazalendo chama kilichopinga na kukataa kwa nguvu zao zote kujiunga na UKAWA 2015 badala ya kujiunga na CHADEMA!

Sasa ACT imechagua Eddie wa pili kupepea bendera - Maalim kashindwa kujifunza kutokana na makosa ya 2015 yaani Maalim karudia makosa ya 2015 kwa kumchukua ambaye baada ya 28/10/2020 atarudi kundini kama Eddie!

Ni afadhali angalia pendekeza Mhe Shaibu, mfia chama(a die hard cohort of then Cuf now ACT-Wazalendo) kupepea bendera ya chama( truth is bitter but I have mentioned the truth)!
🖕🖕🖕🖕
 
Chadema wamzoea kuachiwa nafasi, na kubembelezwa, Membe is a better politician than Lissu.

Ninavyo waelewa, ACT wakikataa kumuachia Lissu, utasikia matusi atakayotukanwa Zitto na ACT yake. Ninacho ogopa ni Zitto kumuuza Membe
kumuuza kiaje?
 
Sisi wazalendo tunataka Lisu ampishe Membe, Kachero aitoe sisiem , ana busara ya kuongoza.

Alionyesha msimamo kwenye issue ya ziwa nyasa vividily.

Lisu akigoma kumuachia Membe tumfaanyaje

Yale yale ya kuvurugana, Slaa/Lipumba kumuachia Mhe Lowassa 2015, historia inajirudia(history repeating itself) na baada ya 28/10/2020 Membe atarudi kundini kama mwwnzie(Lowassa)!!!! Upinzani ni kichekesho, ushaona CCM inatoa mpigania hata Ubunge kutoka vyama vya upinzani? Upinzani unakuwa kama “DODOKI”(msamiata wa Baba wa Taifa Mwl Nyerere) na wanaishia kuvyoonza “army worm”[emoji23][emoji23], rhubarb, squabble, kirusi cha korona!! They pick someone from within the party, mfia chama!!!! Lissu ni mfia chama, Shaibu, Jusa, Bimani, Mhe Duni, ni wafia chama na wala siyo MEMBE!!! One mistake one goal!! Shameful goal kwani hayo yalitokea 2015, kwanini mnapenda kula matapishi yenu! Yetu macho na tunafurahia kwani sisi na Magu wetu mpaka 2035 kwa sababu bungeni hapatakuwa na wabunge wa upinzani kama ilivyokuwa SMZ muhula wa pili wa Rais Dr Shein!!!
 
Katiba ya nchi yetu imeonyesha kanuni 18 ambazo zitamfanya mgombea urais kukosa sifa ya kupitishwa na tume ya uchaguzi kama mgombea urais....

Na kanuni hizo zote mpka sasa wagombea wa nafasi ngazi ya urais akiwemo rais dkt Magufuli, tundu lisu na membe hamna aliyevunja na nina uhakika kwamba wote watapitishwa na tume kugombea nafasi ya rais
Kwani kuanza kampeni mapema tunasisitiza kwamba haipo kwenye sehemu ya katiba yetu na ni ukweli kwamba ipo kwenye kanuni ya chama cha mapinduzi......


Na kazi inakuja hatma ya tundu lisu kwa pamoja na membe Nani atasimama kumkabili rais Magufuli???....

Kwa wananchi walio wengi wana hamu na mhe lisu kwa kuzingatia historia yake binafsi na uzalendo uliotukuka kwa nchi yake,,,....na membe pia ana nafasi kidogo kanda za kusini na bado imani yake kwamba katuma kwa mission maalum inawapa wakati mgumu sana wapinzani kumpa support hata kama jina lake litapendekezwa na viongozi wa vyama vya act na chema!!....

Wajuzi je what happen if zitto kabwe na mgombea wa urais wa zenj seif wakikubali chama chao kumuunga mkono tundu lisu lakini membe akakataa kujitoa..??
 
Back
Top Bottom