Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Wewe mama hebu soma ibara ya 47(1) ya katiba ya JMT.
Weka niisome na jamii iisome, wacha porojo. Makamu wa Rais Tanzania hana awezalo kumpinga Rais.

Kumbuka, Rais wa Tanzania ni Kama mfalme au Malkia, ana mamlaka makubwa ndani ya Tanzania kuliko Rais wa Marekani ndani ya Marekani. Makamu wa Rais hana mamlaka hayo.

Makamu wa Rais anaweza kupingwa na Rais afanyapo maamuzi lakini Rais hawezi kupingwa na Makamo wa Rais. Msimsingizie mama madudu aliyoyafanya ngosha.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Tubadilishe Katiba. Tofauti na hapo kwa sasa chama na serikali ni mali ya Rais. Wengine akiwemo Makamu wa Rais ni mashuhuda tu.
Hivyo usimlaumu SSH.
 
Hii ni Serekali ya awamu ya tano ambayo ndiyo ilichaguliwa na Wananchi! Awamu ya sita itakua 2025 panapo Majaliwa ya Mungu!!!
Does it matter? Mbona mnakomalia awamu? Hata kama ni awamu ya nne au ya tatu au ya saba, rais ni mwingine na serikali ni nyingine ingawa unaweza kuwa na wachezaji walewale. Ni kwamba Magufuli hayupo alikuwa rais, na sasa kaja rais mwingine.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
🤣🤣🤣🤣🤣 .Makamu wa Rais ana mamlaka gani kwa Rais? Awamu ya 5 ilikuwa na Rais wake, Mungu amuhifadhi huko aliko 🙏
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Ukitaka kujua kwamba nchi imewahi kuwa na watu wa hovyo kwenye uongozi msikilize Membe ndio utaelewa kwamba hajui anachoongea wala kukitetea.Mm huwa naona huyu bwana nae hajawahi kuwa na akili kabisa kwake usanii ni sehemu ya maisha yake.
 
HAPA HAKUNA CHA MAMA SAMIA WALA BABA SAMIA HAPA NI KATIBA MPYA,TUME HURU YA UCHAGUZI FULL STOP,Mengine tutakuwa tunaongea uongo tu muda wote.
 
Kwa ile report ya juzi ya IOM kuhusu wahamiaji wa Ethiopia waelekeao SA kupitia Tz,ni kwamba hata awamu hii hiyo mizoga itaokotwa tu labda utaratibu wa kuitupa ubadilishwe na wahusika.

Likely kuna hadi makaburi ya pamoja somewhere.
 
Huyu hayamuhusu sababu hakumtuma afanye yale...
 
Wanajeshi, Polisi,TISS,hawa watu wana Standing Orders. Sasa unaposema unataka kupunguza madaraka ya Rais,unataka kuyapunguza for what purpose?
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Acha ukweli usemwe mpuuzi wewe, na makamu wa raisi hana sauti yeyote na angezimwa kama hao waliookotwa kwenye viroba
 
Weka niisome na jamii iisome, wacha porojo. Makamu wa Rais Tanzania hana awezalo kumpinga Rais.

Kumbuka, Rais wa Tanzania ni Kama mfalme au Malkia, ana mamlaka makubwa ndani ya Tanzania kuliko Rais wa Marekani ndani ya Marekani. Makamu wa Rais hana mamlaka hayo.

Makamu wa Rais anaweza kupingwa na Rais afanyapo maamuzi lakini Rais hawezi kupingwa na Makamo wa Rais. Msimsingizie mama madudu aliyoyafanya ngosha.
Siamini kama kuna siku ningekupa thanks lakini leo nimekupa
 
Back
Top Bottom