Uchaguzi 2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

Uchaguzi 2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

Kama membe angekuwa mtu wa kuachia wenzie angeshamwachia magu, kamwe hatamaachia lisu

Uondokaji wa Membe na Lowasa CCM unaotofautiana sehemu ndogo sana.

Ila lengo lao ni lilelile.
 
saaaahv mmeanza kutuma maombi eeh, tulia mnyolewe vizuri
 
Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania...
Hahaha hahaha hahaha dah Hiki Cha Arusha kabisa Kwamba Tundu Lissu ni Zaidi ya Mandela na Gandhi dah Bro Dunia huwa haiendeshwi kwa huruma hakuna Asimuhurumia Lissu kwa tukio la kupigwa lisasi ila haiwezekani ndio I we moja ya sababu kumpatia Dola Kwa sasa Sioni kama Anauwezo Wa Kuendesha hata mkoa Kumwekea Pingamizi Magufuri kisa Passport size ni wehu toka kwa MTU anaegomegombea Ofisi kubwa kama Ikulu tena in utoto he is Not serious at all
 
Uraisi sio swala la kuachiana.. ni jambo la kupambana hadi ukaupata.
Kama mtu anategemea kuachiwa uraisi kama lastborn anavyoachiwa bakuli la mboga basi amekosea sehemu.
 
Kwa hiyo unawashauri ACT wajitoe uchaguzi huu
Kule Pemba umesikia kilio chao
Wagombea wote wa ACT wamepigwa Ban
Alafu ww unaandika humu eti Membe amuachie lisu
Kwa nin lisu asimuachie Membe kwa sababu kule Zanzibar mambo yetu sio mazuri, angalau sasa tuambulie huku tanganyika
 
Ni ngumu sana kumeza kumteua Tl.
Unamteuaje kwenye serikali yako mtu ambaye huwa kazi yake ni mashambulizi kwako tu na kukukosoa? Ni sawa na kuajiri kijana wa kazi za nyumbani ambaye ni mchapa kazi kweli ila huwa anasifia sana uzuri wa mkeo mtaani.
 
Ni ngumu sana kumeza kumteua Tl.
Unamteuaje kwenye serikali yako mtu ambaye huwa kazi yake ni mashambulizi kwako tu na kukukosoa? Ni sawa na kuajiri kijana wa kazi za nyumbani ambaye ni mchapa kazi kweli ila huwa anasifia sana uzuri wa mkeo mtaani.
Ndiyo maana nikasema kama hatuna political maturity. Kuna baadhi ya viongozi ambao wanachaguliwa kwa sababu ni wapambe wa ccm. Angalia mfano mzuri Aung San Suu Kyi wa mynmar ambae alifungwa na military junta na sasa anachapa kazi nao. Nadhani only in znz waliteua serikali ya mseto (CUF and CCM) na ilipendwa na wananchi wengi na pia kukawa hakuna mgogoro wowote baadae. Mandela wa SA nae alifanya hivyo alipochaguliwa kuwa raisi nae.
 
Cdm huenda kweli mkapata huo urais mnaoutaka lakini naona kabisa haitachukua muda mrefu kabla hamjaanza kumlalamikia kwa mambo ambayo hayatakuwa kama vile mlivyotarajiwa. Na hii itasababishwa na matarajio makubwa mliyonayo juu yake, mmesahau kuwa na yeye ni mbongo kama mlivyo ninyi. Tl hataweza kumeet matarajio yenu yote.

Punguzeni kidogo hiyo mihemko.
 
Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ndo anataka urais.
Aiwezekani urais wa nchi akapewa Tundu Lissu,matamshi yake na mihemko aliyonayo anaonyesha kabisa hana utulivu wa fikra na akili.
Utulivu wa Membe na uzoefu wake alipokuwa CCM ni kigezo kimojawapo kikubwa cha Lissu akaepembeni amuache Membe mwenye haiba ya Urais.
 
Kwani Lisu atashinda huu uchaguzi au anakamilisha fujo zake na kuwa mwisho wa mambo yake atakapotangazwa mzee baba ndiyo maana yupo kimya.
 
Back
Top Bottom