Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Membe ana mikwara ya kitoto. Kitamkuta kilichomkuta Ulimboka halafu mje kulalamika kwenye keyboard kama kawaida yenu.Hakika huyo Membe atakuwa anamkosesha usingizi huyo jiwe hapo Magogoni/Chamwino
Between now and October this year, tutashuhudia kile ambacho mwenyewe Membe amekiita kitaleta mshindo mkubwa ndani na nje ya Tanzania!
Hana impact ya lowassa, kama lowasa alishindwa na kilikua kipindi kipya kabisa maana rais mpya alihotajika kwa sasa asahau...Membe siyo mpumbavu! Anafahamu fika ndani ya Ccm ana kundi kubwa tu linalo muunga mkono na lisilo pendezwa na udikteta unao endelea kutamalaki kwenye chama na nchi kwa ujumla.
Nina imani kungekua na uchaguzi huru na haki, mwaka huu angemgaragaza Rais aliyeko madarakani kwa kura nyingi sana endapo tu angegombea kupitia chama chochote kile cha kisiasa. Watanzania wanataka kuishi maisha bora, na siyo bora maisha.
Yamepoteana yamemsahau tena LisuMkuu kimenuka !
Yanatanga tanga Mara Lisu Mara Membe yanachezeshwa sondimba Tangatanga political party (TPC)Magufuli anataka kuwa dikteta wakati kidhungu hajui. Atabaki kua dikteta muoga maisha yake yote. Mshamba tupishe,
Membe chukua form tuanze upya.
Hana impact ya lowassa, kama lowasa alishindwa na kilikua kipindi kipya kabisa maana rais mpya alihotajika kwa sasa asahau...
Yanatanga tanga Mara Lisu Mara Membe yanachezeshwa sondimba Tangatanga political party (TPC)
Eti nini? Membe hawezi kuwa rais wa JMT?Huyu Baba kichekesho sana. Mimi ningekuwa niyeye ningemuunga mkono raisi maana anafanya kazi nzuri. Ni kipi Membe ataleta kizuri au Magu hajafanya?
Au watu tunataka kurudi kwenye kupiga??God forbid Membe hawezi kuwa raisi wa JMT
Na huko Ufipa yeye ni mwanachama? Bwashee vipi leo?Yeye ni mwanachama?!
Hawezi...treni ilishamuacha!Eti nini? Membe hawezi kuwa rais wa JMT?
Kama Magu kaweza nani atashindwa?
Akienda kuchukua fomu anakuwa mwanachama siku hiyo hiyo kama Lowassa 2015!Na huko Ufipa yeye ni mwanachama? Bwashee vipi leo?
Tumia lugha ya kistaarabu kidogo huyo unayemwita takataka......! Sijui unakumbuka ya Lowassa na leo yuko wapi!!!Membe ni takataka hana tofauti na waigizaji wengine tu
Membe siyo mpumbavu! Anafahamu fika ndani ya Ccm ana kundi kubwa tu linalo muunga mkono na lisilo pendezwa na udikteta unao endelea kutamalaki kwenye chama na nchi kwa ujumla.
Nina imani kungekua na uchaguzi huru na haki, mwaka huu angemgaragaza Rais aliyeko madarakani kwa kura nyingi sana endapo tu angegombea kupitia chama chochote kile cha kisiasa. Watanzania wanataka kuishi maisha bora, na siyo bora maisha.
Kwa hiyo unamaanisha Lissu hawezi kumshinda membe?
Kuogopa ni ujinga
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimatifa wakati wa Serikali ya Tanzania, Bernard Membe ambaye mwezi Februari mwaka huu chama chake cha CCM kilipendekeza kumvua uanachama wake amesisitiza kuwa dhamira na uamuzi wake wa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bernard Membe amesisitiza kuwa ana nia hiyo kutokana na mazingira anayoyaona sasa hivi, na hiyo ni kuendana na katiba ya Chama Cha Mapinduzi, amenukuliwa akisema:
"Naomba kutumia nafasi hii kuwaambia wa Tanzania wasijewakadhani hata siku moja kwamba ni dhambi kupambana na Rais aliyopo madarakani, ukidhani kwamba ni dhambi ni ujinga hii ni haki yako yakikatiba unayo haki yakuchagua na kuchaguliwa".
Umepona na Covid-19 huko Marekani?Pambana na huyo Magufuli mpaka kieleweke. Washa moto ndani ya CCM ili kumtoa Ikulu. Anajua fika kwamba ukichukua form KWISHA HABARI yake kwani wengi ndani ya CCM hawataki hata kusikia sauti yake au kumuona sura yake.