Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Tumejitenga na dunia hata takwimu za corona hawapati ng’o. Watalii watakaokuja kwetu wakirudi makwao waende karantini kwa siku 14. Maana yake uwe na siku 28 au zaidi za likizo.
Tunasisitiza utalii wa NDANI, tumekuza uchumi, Hali ya kipato Cha Mtu mmoja mmoja imeboreka Sana, kwa Sasa kila kaya Ina wastani wa magari mawili. Tunajitegemea kikamilifu
 
Tunasisitiza utalii wa NDANI, tumekuza uchumi, Hali ya kipato Cha Mtu mmoja mmoja imeboreka Sana, kwa Sasa kila kaya Ina wastani wa magari mawili. Tunajitegemea kikamilifu
Magari siyo kipimo cha uchumi kukua, huko unako kuhusudu sana ulaya au marekani kuna kaya nyingi tu hawana magari! Wanategemea usafiri wa public, kama daladala, mwendo kasi, SGR, Meli (mfano new Victoria.)
Nyinyi hivi vitu mwanzoni hamkujua maana yake, mlifikiri ni maendeleo ya vitu siyo ya watu! Ila sasa dunia imetuelewa. Nyinyi kalagabaho!
 
Membe sio wa kumuamini kabisa kabisa.
Naliona anguko la upinzani kama wakimuamini huyu jamaa
 
Hayo majani yamekauuuka, hajui hata kuchagua sehemu nzuri ya kufanyia mahojiano, na siajabu hapo ni nyumbani kwake, hilo peke yake linakuonyesha kwamba siyo mtu mtu smart na mzigo popote atakapoenda, ...
 
Tumejitenga na dunia hata takwimu za corona hawapati ng’o. Watalii watakaokuja kwetu wakirudi makwao wanatakiwa waende karantini kwa siku 14. Maana yake uwe na siku 28 au zaidi za likizo.
nakushauri ugombee uongozi wowote ule, hata kuwa kiongozi wa familia yako badala ya mumeo ili wafaidi utopolo wako mama,
 
Membe kichwa, yuko njema sana upstairs
Huwezi kumlinganisha Jiwe na Jasusi Mbobezi
Jasusi kaandaliwa kiuongozi, wakati Jiwe kapata uraisi kwa zali la mentali, ni sawa na kuokota dodo chini ya mnazi, lakini ile nafasi ilikuwa si yake kabisa kwa vigezo vyote vya mtu anayefaa kukalia nafasi ile!
 
Angekuwa na akili angejua uongozi kupitia CCM ni miaka 10 tu ambayo inabidi aheshimu. Hata Magufuli akibadili katiba ndani ya CCM apiti baada ya miaka kumi.

Angetumia huo ujasusi wake kuakikisha Magu aongozi nchi zaidi ya miaka kumi kama wenzake walivyojipanga. Aache njaa na kuropoka ovyo kama ana tamaa aende upinzani hila ajue bashiru, Polepole na Mangula awawezi isumbua CCM baada ya miaka kumi ya Magu he will go apende asipende. Sasa bora angejiunga na hilo kundi la kulinda chama kuliko kuleta tamaa.

Katiba ya CCM inasema uongozi ni miaka kumi au miaka mitano ukipata ridhaa tena ya chama unaongeza mitano?.

Kama uongozi ni miaka kumi basi Magufuli asingechukua fomu safari hii kuomba tena!
 
Katiba ya CCM inasema uongozi ni miaka kumi au miaka mitano ukipata ridhaa tena ya chama unaongeza mitano?.

Kama uongozi ni miaka kumi basi Magufuli asingechukua fomu safari hii ku!
After that he is done, Membe inabidi aheshimu CCM rituals, muda ukiisha fujo ruksa.
 
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, former minister of foreign affairs BENARD MEMBE, alizungumza na kituo cha habari cha BBC news na kuweka wazi nia yake ya kutaka kugombea urais kwa tiketi ya kusema kuwa anadai uhuru .. sasa swali ni je, uhuru gani anaodai mzee wetu benard membe ?? .. nawasilisha ..
 
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, former minister of foreign affairs BENARD MEMBE, alizungumza na kituo cha habari cha BBC news na kuweka wazi nia yake ya kutaka kugombea urais kwa tiketi ya kusema kuwa anadai uhuru .. sasa swali ni je, uhuru gani anaodai mzee wetu benard membe ?? .. nawasilisha ..
Jibu kamili nadhani analo muhusika
 
Anagombea kupitia chama gani? Si amewachimba mkwara wapinzani waungane kwanza ndiyo wamuombe agombee?
 
Back
Top Bottom