Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

johnthebaptist,

Kwa taarifa yako Membe hajasahau, bali hajui. Bado ana hang over ya alipokuwa CCM, kwani wakati huo alikuwa yuko juu ya sheria, na aliweza kufanya chochote hata kinyume cha sheria na asiguswe.

Wapinzani waliokula hela za Membe warudishe, huyo mzee analiwa hela kwa ahadi kuwa atapewa nafasi ya kugombea urais. Ndio maana yuko porini huko anaagiza wapinzani waungane, halafu yeye ndio aje agombee urais!

Anaamini wapinzani wanaweza kuwa wajinga mara mbili. Yeye aongee vizuri na ACT, ajue wanamrudishia hela yake, au wampe nafasi, lakini sio kupata support ya wapinzani.
 
Ukweli CDM na ACT wangeungana wakaacha tamaa yaani Zanzibar pamoja na mikoa hii Pwani, Tanga na Kigoma wakapewa ACT inayobaki bara wakapewa CDM wangeweza kutoboa, NCCR wala haina chake.
 
Kwa taarifa yako Membe hajasahau, bali hajui. Bado ana hang over ya alipokuwa ccm, kwani wakati huo alikuwa yuko juu ya sheria, na aliweza kufanya chochote hata kinyume cha sheria na asiguswe.

Wapinzani waliokula hela za Membe warudishe, huyo mzee analiwa hela kwa ahadi kuwa atapewa nafasi ya kugombea urais. Ndio maana yuko porini huko anaagiza wapinzani waungane, halafu yeye ndio aje agombee urais! Anaamini wapinzani wanaweza kuwa wajinga mara mbili. Yeye aongee vizuri na ACT, ajue wanamrudishia hela yake, au wampe nafasi, lakini sio kupata support ya wapinzani.
Membe akija hapo Chadema mtamnyima nafasi ya kugombea urais?
 
Ukweli CDM na ACT wangeungana wakaacha tamaa yaani Zanzibar pamoja na mikoa hii Pwani, Tanga na Kigoma wakapewa ACT inayobaki bara wakapewa CDM wangeweza kutoboa, NCCR wala haina chake.
Wangeungana kwa sheria ipi?!
 
You are so outdated. Ina maana hizi bad law za kipindi hiki cha Magufuli wala huzijui!
Ni wazi sheria zinazotungwa ni kandamizi. Ni kwa sababu ya uoga, kutojiamini na uroho wa madaraka.
 
Mzee wewe kwa fix, mbona Mrema kashaungana na CCM.
 
Si ni hivi chama kimoja tu cha upinzani ndo kinasimamisha Rais atakaeungwa mkono na vyama vingine. Wakiamua wanaweza.
Kabisa wakiamua wanaweza sana. Swali ni nani atakayesimamishwa, na kwa masharti au maelewano gani.

Je, wataaminiana, 2015 CHADEMA ilipewa fursa hiyo, tulisikia vilio vya vyama vigenevyo. Je, Chadema watakubali wakiambiwa safari hii ni Zitto wa ACT Bara, na hali wanajua kabisa kisiwani Maalim Seif ndiye mshindani anayeweza leta upinzani wa maana. Yaani kote kote ni ACT, lakini wakishinda Chadema watapewa uu Waziri Mkuu, Spika, na wizara mbili nyeti.
 
Nani hataki ruzuku mpaka amuachie mwenzake kugombea?
Ni maamuzi magumu ila ndo effective katika kumshinda Magufuli. Wanaweza kuelewana waziri mkuu, mgombea mwenza. Pia katika mawaziri watoke vyama vingine. Yaani wakifanya hivyo ndo watafanikiwa kuing'oa CCM. Otherwise wataendelea kugawana kura.
 
Kabisa wakiamua wanaweza sana. Swali ni nani atakayesimamishwa, na kwa masharti au maelewano gani.

Jee wataaminiana, 2015 CHADEMA ilipewa fursa hiyo, tulisikia vilio vya vyama vigenevyo. Jee chadema watakubali wakiambiwa safari hii ni Zitto wa ACT Bara, na hali wanajua kabisa kisiwani Maalim Seif ndiye mshindani anayeweza leta upinzani wa maana. Yaani kote kote ni ACT, lakini wakishinda Chadema watapewa uu Waziri Mkuu, Spika, na wizara mbili nyeti.
Wewe tunawaza sawa. Yaani hii ndo njia pekee ya kumshinda Magu.
 
Wewe tunawaza sawa. Yaani hii ndo njia pekee ya kumshinda Magu.
Asante Sister, tena mie ni mwana CCM, lakini safari hii kura ya uraisi naipeleka upinzani, wakitupa mgombea wa maana, kati ya Lissu na Zitto.
 
mimi ningetamani kuona mkigawana kura yaani wagombea wasimame namna hii
1. CCM.... PHd MAGUFURI
2. CHADEMA... TUNDU LISU
3. ACT..................ZITO KABWE
4. TLP/ANLD/CHAUMA/CUF....BENARD MEMBE

NATAMANI KUONA WAGOMBEA HAWA WAKIGOMBANIANA KURA ZA WANANCHI ILI IFIKIAPO 2025 WAWE WAMEJIIMARISHA KIASI FULANI
 
Sasa kama kuna bad lawa si unatakiwa unipe updates ni sheria gani na kifungu gani?

Mimi sio mwanasheria mpaka nikupe vifungu. Ila sheria mbaya ni lazima vyama vinavyotaka kuungana, viungane kisheria miezi mitatu kabla ya kampeni/uchaguzi. Na taarifa hii lazima iende kwa msajili wa vyama vya siasa aidhinishe.
 
Back
Top Bottom