Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Lowass
Tatizo hawataki kujitolea lakini ni upi uamuzi sahihi kwa awakati huu?
2015 ilibaki kidogo hii nchi ikombolewe japo Lowasa alipokewa kimakosa lakini ukombozi ni ukombozi.
Kwakweli Hawa wazee uzalendo hawana kabisa hawataki kujitolea hata kwa kuwa washauri wa kuweka mikakati.

Lowassa alijiunga cdm August 2015, huyu naye anataka kujiunga muda uleule, tena anapanga kabisa wapinzani wajiunge kisha yeye ndiye mgombea urais! Kwanza kisheria muda wa kuungana kwa vyama umepita, sijui hata anakuja na stori zipi. Aende akagombee kupitia chauma ili akawasaidie kupata hizo kura.
 
Bashiru Ally ailaumu dola kwa kugandamizi ushiriki wa wananchi

 
Akiulizwa swali la kichokozi na muandishi wa BBC Ndugu Benard ameeleza wazi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu anayo haki ya kuamrisha vyombo vya ulinzi na Usalama ,kuelekeza na kuvitaka vifanye nini.

Maana yake Mzee Bernard Membe anatuelewesha kuwa wakulaumiwa ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi, maana walio chini yake wanatekeleza na hakuna kusitasita kuhakikisha amri au tamko la Mkuu wa Nchi ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi linafanyiwa kazi bila kujali matokeo yake.
 
Nimemsikia waziri wa zamani mzee Membe kupitia BBC Dira ya Dunia akisema atagombea urais wa JMT endapo wapinzani wataungana na kumsimamisha.

Nimkumbushe tu mzee Membe kwamba kwa sheria na kanuni za sasa swala la wapinzani kuungana kama ilivyokuwa UKAWA haliwezekani.
Pia viongozi wa vyama tofauti tofauti kualikana kwenye mikutano ya kampeni limezuiwa kikanuni.

Ufafanuzi wa swala hili ulishatolewa na msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Nyahuza.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Si ni hivi chama kimoja tu cha upinzani ndo kinasimamisha Rais atakaeungwa mkono na vyama vingine. Wakiamua wanaweza.
 
Kwani ndugu Nyahuza alisema nini kuhusu kuungana vyama na kusimamisha mgombea mmoja. Mbona 2015 Ukawa ilifanikiwa?

You are so outdated. Ina maana hizi bad law za kipindi hiki cha Magufuli wala huzijui!
 
Back
Top Bottom